Nampenda sana mke wangu lakini huu mchepuko nashidwa kabisa kuuacha

Nampenda sana mke wangu lakini huu mchepuko nashidwa kabisa kuuacha

Salaam wakuu

Mimi ni mmjawapo wa kijana nisiyekubaliana kabisa na kataa ndoa.

Nimeoa na nna mtoto mmoja na mke wangu kipenzi. Uamuzi wa kuoa niliuchukua baada ya kuona kama nimeshamaliza kila kitu nineshaonja za kila aina kumbe nilikua najidanganya maskini mimi.

Nilikutana na huyu binti kwenye mishe mishe zangu tuipiga stori za hapa na pale na tulielewana sana sikua na lengo kabisa la kugegeda tulibadilishana namba kwa lengo la kupeana michongo.

Sijui shwetani alitokea wap ghafla mahusiano yakaanza huku na huku tukajikuta tupo naked chumbani.

Wakuu nadiriki kusema the huyu mtoto anajua michezo sijawahi ona.

Kalivyo kwanza ni kadem fulan chembamba hivi kiuno kidogo kama nyigu afu nyuma kichiguu kilichokaa mkao.

Honestly anajua mapenzi, Ile siku napiga kimoyomoyo nikawa nasema huyu atanivunjia ndoa huyu leo ni one and for all.

Baada ya show akaniambia next time atanfanyia mapenzi na kipipi😮‍💨 naisubiri hiyo kisha nitamkataa shetani na kazi zake zoote niendelee kuwa mwaminifu kwa mke wangu.

Niishie hapo kwa sasa ntakuja na update ya kipipi na kuachana nae mazima
Enhee kama unaogopa kuoa mke wa pili kuna jamaa anapenda mwanamke mwenye sifa kama hizo hizo na anajua kinyonya na pipi, weka namba hapa nimfikishie 🤣
 
Umesema uliona umemaliza kila kitu ndio uoe?
Basi kama huo ulikuwa ni mpango wako, nashauri, vunja ndoa ili uendelee kwanza.
Ndoa za wagalatia hazivunjikag mpk kifo😮‍💨
 
nachokuomba tu ni kitu kimoja,

ukifumaniwa na kung'olewa meno, ukapigwa ngeu za maana kichwani, kwenye taya na maeneo mengine ya mwili,
tafadhali sana usisingizie umetekwa,
maana wengi wenu waizi na mbaomendea wake za watu mkitolewa berenge mnakimbilia kusema mmetekwa.

sasa kua makini na ujiheshimu.
This is my warning to you cheaters in marriages. Ngeu zako ziko jikoni zinachemka 🐒
Kipo single mkuu ila mke wang yupo very straight akigundua tatz litakua kubwa kipipi unakijua lkn??
 
Kaka wewe ni mimi,mke nampenda sana,ila haka ka mchempuko
Ni karefu na kembamba.
Kishundu classic 👌
Baba iyoo shoo!!
Kila saa naona km sichomoi..

Laiti angejua kwa aasa angeweza kunifanya chochote..
Nimekula sana ila hapa nimekoma.
Hivi vijutu sijui vinakuaga wap tukidhaooa vinachomoza kam mshale kikubwa siri mkuu
 
Alijifunzia wapi hiyo michezo? Usinoambie umemkuta bikra bhana.

Anyway, kipya kinyemi.


Atakua anajua mengi, usijisifu sana, waachie kidogo pia na waliokutangulia

Punguza mihemko mkuu, hawa watu wapo dizaini nyingi utakutana na wengine tena utakuja mbio hapa kusimulia. Piga kimya tu uende.

Vipi biashara yenu, inalipa lakini? Wape mchongo vijana sio unawapa stori za K na vichuguu
Sijui ht kilipojulia ila ni hatar mkuu ni hatar kubwa nishapitapita lakin hapa ni nomads sema nkimaliza kipip nakaacha
 
Sijui ht kilipojulia ila ni hatar mkuu ni hatar kubwa nishapitapita lakin hapa ni nomads sema nkimaliza kipip nakaacha
Hauwezi, ushavurugwa medula wewe. Utaacha siku 2 kisha utakumbuka utakarudia. Mpaka umekaanzishia uzi mchezo
 
Kipo single mkuu ila mke wang yupo very straight akigundua tatz litakua kubwa kipipi unakijua lkn??
ambacho singependa kuona wala kuskia kikikutokea ni siku ukinyakwa, eeh baba...

maana usije kuanza ooh watu walionichukua walikua wanaongea lugha isiyo eleweka huenda wametokea Africa kusini,

kumbe umepigwa ngumi ya pua ukapata mawenge na kuona giza.

achana na michepuko kabisa gentleman 🐒
 
Salaam wakuu

Mimi ni mmjawapo wa kijana nisiyekubaliana kabisa na kataa ndoa.

Nimeoa na nna mtoto mmoja na mke wangu kipenzi. Uamuzi wa kuoa niliuchukua baada ya kuona kama nimeshamaliza kila kitu nineshaonja za kila aina kumbe nilikua najidanganya maskini mimi.

Nilikutana na huyu binti kwenye mishe mishe zangu tuipiga stori za hapa na pale na tulielewana sana sikua na lengo kabisa la kugegeda tulibadilishana namba kwa lengo la kupeana michongo.

Sijui shwetani alitokea wap ghafla mahusiano yakaanza huku na huku tukajikuta tupo naked chumbani.

Wakuu nadiriki kusema the huyu mtoto anajua michezo sijawahi ona.

Kalivyo kwanza ni kadem fulan chembamba hivi kiuno kidogo kama nyigu afu nyuma kichiguu kilichokaa mkao.

Honestly anajua mapenzi, Ile siku napiga kimoyomoyo nikawa nasema huyu atanivunjia ndoa huyu leo ni one and for all.

Baada ya show akaniambia next time atanfanyia mapenzi na kipipi😮‍💨 naisubiri hiyo kisha nitamkataa shetani na kazi zake zoote niendelee kuwa mwaminifu kwa mke wangu.

Niishie hapo kwa sasa ntakuja na update ya kipipi na kuachana nae mazima
Mkuu hata mimi nahisi kukamatwa na mchumba angu aisee yaani michepuko sio lazima umuage umwambie kabisa naenda kwa mke wangu
 
Salaam wakuu

Mimi ni mmjawapo wa kijana nisiyekubaliana kabisa na kataa ndoa.

Nimeoa na nna mtoto mmoja na mke wangu kipenzi. Uamuzi wa kuoa niliuchukua baada ya kuona kama nimeshamaliza kila kitu nineshaonja za kila aina kumbe nilikua najidanganya maskini mimi.

Nilikutana na huyu binti kwenye mishe mishe zangu tuipiga stori za hapa na pale na tulielewana sana sikua na lengo kabisa la kugegeda tulibadilishana namba kwa lengo la kupeana michongo.

Sijui shwetani alitokea wap ghafla mahusiano yakaanza huku na huku tukajikuta tupo naked chumbani.

Wakuu nadiriki kusema the huyu mtoto anajua michezo sijawahi ona.

Kalivyo kwanza ni kadem fulan chembamba hivi kiuno kidogo kama nyigu afu nyuma kichiguu kilichokaa mkao.

Honestly anajua mapenzi, Ile siku napiga kimoyomoyo nikawa nasema huyu atanivunjia ndoa huyu leo ni one and for all.

Baada ya show akaniambia next time atanfanyia mapenzi na kipipi😮‍💨 naisubiri hiyo kisha nitamkataa shetani na kazi zake zoote niendelee kuwa mwaminifu kwa mke wangu.

Niishie hapo kwa sasa ntakuja na update ya kipipi na kuachana nae mazima
Kwa ufupi,umekwisha.
 
Dada naomba unipige pindi la tangawizi na asali puliiizzz..!! 😹

Sitaki nikiolewa nikuaibishe shemeji atoke nje aje kunisimanga..!
🤣🤣🤣mwali wangu unaniangusha bwana,twanga ile tangawizi kalii,,nyingine tafuna mdomo uwe motoooo.chukua asali changanya upake sehemu zote husika,anzaa kula asali taratibu kwa madaha,hakikisha unamaliza yote sawa we mwali msungo😁?
 
Back
Top Bottom