Nampenda sana mke wangu lakini huu mchepuko nashidwa kabisa kuuacha

Enhee kama unaogopa kuoa mke wa pili kuna jamaa anapenda mwanamke mwenye sifa kama hizo hizo na anajua kinyonya na pipi, weka namba hapa nimfikishie 🤣
 
Umesema uliona umemaliza kila kitu ndio uoe?
Basi kama huo ulikuwa ni mpango wako, nashauri, vunja ndoa ili uendelee kwanza.
Ndoa za wagalatia hazivunjikag mpk kifo😮‍💨
 
Kipo single mkuu ila mke wang yupo very straight akigundua tatz litakua kubwa kipipi unakijua lkn??
 
Kaka wewe ni mimi,mke nampenda sana,ila haka ka mchempuko
Ni karefu na kembamba.
Kishundu classic 👌
Baba iyoo shoo!!
Kila saa naona km sichomoi..

Laiti angejua kwa aasa angeweza kunifanya chochote..
Nimekula sana ila hapa nimekoma.
Hivi vijutu sijui vinakuaga wap tukidhaooa vinachomoza kam mshale kikubwa siri mkuu
 
Sijui ht kilipojulia ila ni hatar mkuu ni hatar kubwa nishapitapita lakin hapa ni nomads sema nkimaliza kipip nakaacha
 
Sijui ht kilipojulia ila ni hatar mkuu ni hatar kubwa nishapitapita lakin hapa ni nomads sema nkimaliza kipip nakaacha
Hauwezi, ushavurugwa medula wewe. Utaacha siku 2 kisha utakumbuka utakarudia. Mpaka umekaanzishia uzi mchezo
 
Kipo single mkuu ila mke wang yupo very straight akigundua tatz litakua kubwa kipipi unakijua lkn??
ambacho singependa kuona wala kuskia kikikutokea ni siku ukinyakwa, eeh baba...

maana usije kuanza ooh watu walionichukua walikua wanaongea lugha isiyo eleweka huenda wametokea Africa kusini,

kumbe umepigwa ngumi ya pua ukapata mawenge na kuona giza.

achana na michepuko kabisa gentleman 🐒
 
Mkuu hata mimi nahisi kukamatwa na mchumba angu aisee yaani michepuko sio lazima umuage umwambie kabisa naenda kwa mke wangu
 
Kwa ufupi,umekwisha.
 
Dada naomba unipige pindi la tangawizi na asali puliiizzz..!! 😹

Sitaki nikiolewa nikuaibishe shemeji atoke nje aje kunisimanga..!
🤣🤣🤣mwali wangu unaniangusha bwana,twanga ile tangawizi kalii,,nyingine tafuna mdomo uwe motoooo.chukua asali changanya upake sehemu zote husika,anzaa kula asali taratibu kwa madaha,hakikisha unamaliza yote sawa we mwali msungo😁?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…