Nampenda sana Nargis Mohamed

Nampenda sana Nargis Mohamed

Mpambano mkali wa ma miss ilikua Miss Ilala..Mbiki Msumi na Hoyce Temu....kisha ukahamia tena Miss Tanzania..Mbiki tena na Hoyce Temu
Mbiki na Angella 😁
Nahisi hii ndio Miss Tz ya kwanza kuifahamu maana nakumbuka kuna siku nilitumwa kwenye ghetto la bro mmoja, nikakuta gazeti la walimbwende kalibandika ukutani. Nikawa nawashangaa 😁

Zamani Miss Tz ilikuwa big thing hadi familia zilikuwa zinakaa kusubiria final show ndio maana sikumbuki hata ya kwanza kuiangalia ni ipi, ila kwa akili na ufahamu wangu, show ya kwanza kuikumbuka clearly ni ya nancy sumari, miss Tz 2005
 
Mbiki na Angella 😁
Nahisi hii ndio Miss Tz ya kwanza kuifahamu maana nakumbuka kuna siku nilitumwa kwenye ghetto la bro mmoja, nikakuta gazeti la walimbwende kalibandika ukutani. Nikawa nawashangaa 😁

Zamani Miss Tz ilikuwa big thing hadi familia zilikuwa zinakaa kusubiria final show ndio maana sikumbuki hata ya kwanza kuiangalia ni ipi, ila kwa akili na ufahamu wangu, show ya kwanza kuikumbuka clearly ni ya nancy sumari, miss Tz 2005
Hahahahaha...zamani Miss Tanzania ilikua inatingisha haswa
 
Huyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania 🇹🇿 nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia.View attachment 2963632View attachment 2963633

Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
Huyu si aliolewaga na Kipanya? Mke wa pili baada ya Kipanya kutalikiana na yule binti wa mzee Chande

Naona umeleta gumzo hapa si bure
 
Hahahahaha...zamani Miss Tanzania ilikua inatingisha haswa
Ila beauty standards zimebadilika pia bro. Enzi hizo english figure, cute faces, dimples, skin tonr na mwanya vilisumbua. Siku hizi bila haga, watu hawakuchukulii serious 😁

Yani kama millen magesse ndio angetoka leo, sidhani kama watu wangemzingatia kama enzi zake
 
Ila beauty standards zimebadilika pia bro. Enzi hizo english figure, cute faces, dimples, skin tonr na mwanya vilisumbua. Siku hizi bila haga, watu hawakuchukulii serious 😁

Yani kama millen magesse ndio angetoka leo, sidhani kama watu wangemzingatia kama enzi zake
Hahahahaha..siku hizi atokeee mtu afanye Miss Size Plus [ Miss Bantu ] atabamba sana😅😅😅
 
Ila miss Tz ya enzi zile ilikuwa 🔥🔥🔥. Siku hizi unashangaa tu miss Tz imeshafanyika; hatuna habari
Ukiona hivyo ujue wakati huo umeshapita kwetu....hata wakati ule sisi tukifuatilia hayo mashindano kuna wengine walikuwa hawana ht habari nayo....jee uafuatilia Miss World, Miss Universe au hizi Awards za mastaa wa nje?
 
Ukiona hivyo ujue wakati huo umeshapita kwetu....hata wakati ule sisi tukifuatilia hayo mashindano kuna wengine walikuwa hawana ht habari nayo....jee uafuatilia Miss World, Miss Universe au hizi Awards za mastaa wa nje?
Ni kweli tumeshakuwa wahenga. Ila hayo mashindano tangu uncle Lundenga ajitoe; ni kama yamekosa hamasa fulani hivi. Wapenda entertainment wapo wengi sana; na wao bado wanalalamika mashindano yamepoteza mvuto. Ni kama BSS ya madam Ritha those days ikiwa yanarushwa ITV; siku hizi hadi nikutane na ka-clip ndiyo nakumbuka BSS bado ipo. Nje bado nafuatilia vitu vingi tu.
 
Back
Top Bottom