Nampenda sana Nargis Mohamed

Nampenda sana Nargis Mohamed

Halafu nimekumbuka, kama sijakosea mpambano ulikuwa ni kati ya Mbiki vs Angel Damas...
Huu ulikuwa mpambano wa aina take. Mmoja black beauty mwingine shombe shombe wa Kizungu. Pambano lilienda mpaka matuta baada ya dakika za nyongeza kushindwa kutoa mshindi

NB: Niliwahi sikia Mbiki Msumi aliolewa na Waziri Bashe, ila baadae wakaachana
 
Huyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania 🇹🇿 nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia.View attachment 2963632View attachment 2963633

Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
Dah, umenikumbusha mbali sana.
 
Huyu dada ana nini mbona watu wanapenda kumfatilia sana.

Kuna chief mmoja aliwahi kuniambia nancy ana jeuri na kiburi.

Mtu wa hivi hana sifa za wife material nahisi kiburi na jeuri moja kati ya sababu zilizo mfanya asipewe miss Tz by that time.kama ulimbwende anao
 
Back
Top Bottom