Asante ubarikiwe piabaraka tele zikufuate daima
soul and brain mates,safi sana nimependa hii mungu aendelee kuwapa furaha,hekima na maarifa zaidiAhsante sana. Ila usidhani kwamba Sky Eclat hajaokota Tanzanite... kifupi ni kuwa tumepatana... soul and brain mates.
Sasa si umfuate PM ukamwambia ukitangaza huku haitosaidia halafu unampenda kwa Upendo wa aina gani
Kirafiki
Kimapenzi
Kifamilia
Kiubinadamu n.k
Ndugu we mwenyewe si unajua kuwa wasichana hawajibugi Pm?Sasa si umfuate PM ukamwambia ukitangaza huku haitosaidia halafu unampenda kwa Upendo wa aina gani
Kirafiki
Kimapenzi
Kifamilia
Kiubinadamu n.k
Nahofia kueleweka tofautiMkuu mbona unajitetea sana na kujihami
Kwanini ndugu?Tutagombana sasa hivi.
Ana mume wake,usimuharibie ndoa.Kwanini ndugu?
nawew Mr wako naniYap ni mdada mmoja Poa sana, ila ana Mr wake humu bahati nzuri umejiwahi mapemaaa
Wewe hujanielewaAna mume wake,usimuharibie ndoa.
Kwa mdomo huo hana mtu huyo mkuu anazagaa tu.nawew Mr wako nani
Mkuu usijali just kidding.Wewe hujanielewa
ahaha sawa mkuuNimesikia mkuu. Kijana si tishio la ndoa yangu. Nimemwelewa.