Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umecheka au umefurahia... Maombi yako yamejibiwaHa ha haaaaaaaaa nimecheka.
eeeeeeeeh,ngoja nitoke nisije KUFA kwa KIOHORONafasi ipo lakini vigezo na masharti vizingatiwe
khaaa unatafuta watu maneno asee unaweza kuta mko 100 maana jf imekuwa kisima cha mahabat siku hizi pm km kina invisible wanasoma naona wanajifaidia saaaaanaNina miaka takribani 8 hapa JamiiForums nimejifunza mengi na nashukuru sana kuwa member hapa.
Nimekutana na baadhi ya watu na wengine tumefanya nao biashara bila usumbufu wowote. Kuna mwanamke humu jukwaa anaitwa tatty nimempenda sana kwa kweli.
Ni mzuri, mcheshi na mkarimu sana, ameniambia hata yeye ananipenda ila sijaamini na mbaya zaidi anasema ameolewa (nimeumia).
Natangaza rasmi kwamba nampenda sana na nipo tayari kwa lolote.
tatty naomba unijibu tafadhali maana PM sijaamini kwamba unanipenda kweli.
LOVE U SO BIG my gal.
Maombi yangu unayajua mkuu? Ninachoomba kila siku hata sikipati jamani...vinakuna vingineeeeUmecheka au umefurahia... Maombi yako yamejibiwa
Sitamwangusha kama atazingatia vigezo na mashartikwa hiyo hata kuliwa tigo upo tayari? mimewaza mengi ila hili linatisha.....
tatty usimwangushe mwenzio
He he he he haya bana. sikujua kama una wivu hivi.eeeeeeeeh,ngoja nitoke nisije KUFA kwa KIOHORO
yupo tayari kwa loloteSitamwangusha kama atazingatia vigezo na masharti
achana nao wengi ni wanafiki, nakupenda kutoka kwa moyoHe he he he haya bana. sikujua kama una wivu hivi.
serious ulitaka nisiwe na WIVU?...mmmh WIVU ninao na hapa HASIRA kibao,naenda paleee KUJILEWEA huku nafuatilia huu UZI kwa UMAKINI hadi MWISHO,labda uhamie PM,hahahahaahhahaHe he he he haya bana. sikujua kama una wivu hivi.
hahahahahaha,CHEZA kwa STEP ,kijanaachana nao wengi ni wanafiki, nakupenda kutoka kwa moyo
No loveLove is love
Akinaniliwa mi simoyupo tayari kwa lolote
Shughuri imekwisha. ''Kipaji Halisi'' imekula kwakoAkinaniliwa mi simo
hahahaahahahaha...mkuu huu MZIKI MNENE,tatty mwenyewe anaujua na kuukubali,sema hii mmmh,imekula KWANGUShughuri imekwisha. ''Kipaji Halisi'' imekula kwako
Kwako tu mkuu sie wengine tunapenda mpaka tunadata[emoji85]No love