Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya


Mpuuzi ni wewe, you have been born kimakosa dunia hii hasara kwa Taifa na dunia nzima, you are such a big shithole.. Huna adabu, pumbaf
 
Asante kwa ufafanuzi, ni ufahamu mkubwa sana ulio nao baina yetu, hivyo asante kwa kutushirikisha.
 
You nailed it all.
 
Kwanini kipindi chote hapa katikati tangu astaafu Pengo, kwanini hawakuchagua Kadinali
 
Asante kwa kujidanganya.
 
Napinga taarifa hii.

Kualiwa BUnena hukumnyimi uhuru wa kuhamia Karagwe
Kaka zake, dada zake, na nduguze wote wako Nyaishozi, Karagwe.
Huko ndiko makazi yao ya kudumu yaliko
Hayo mambo ya kwenda Karagwe kuhudumu ni nadharia batili
Iwe leka si bojo.... Kardinali amezaliwa Bunena mwaka 1960 kitongoji Nyaigombe.Pili mwaka 1990 baada ya ziara ya Papa John Paul II kuja Tanzania na kumpa sakrmenti ya upadrisho ndiyo akaletwa Karagwe -Nyaishozi. Pia majina ya Rugambwa,Mutalemwa nk sio majina yetu wanyambo.
 

Swali: majina ya wanyambo na majina yasiyo ya wanyambo unayatofautisha kwa kutuia vigezo gani?
 
Shida ni nini Wahaya na Wanyambo?
tuseme Rugambwa ni mhaya au tuseme ni mnyambo kipi kinabadilisha utume wake, tuache ukabila wa kijinga , Hongera kwa Rugambwa matarajio kwanza bado ni kijana na ana maono makubwa tumuombee anaweza kuwa papa wa kwanza Muafrika
Nimepatiwa Habari kuwa ni miongoni mwa waandishi walioanzisha concept ya jumuiya ndogo ndogo ambazo na walokole wameudopt na waislamu pia wanaelekea huko baada ya kuonekana inafanya vizuri
 
Upo vizuri
 
Wahaya wanawadharau sana wanyambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…