Nampongeza Askofu Rugambwa wa Nyaishozi kwa Kuteuliwa kuwa Kardinali Mpya

Wewe unajua ni mapadre wangapi walio huko ? Ninekwambia hakuna Jimbo lenye mapadre WA shirika kuzidi Moshi
Eti mapadre ni WA low quality?
Askofu rogath kimario WA same alikuwa Vatican aliteuliwa uaskofu kutoka upadre
Askofu Beatus urasa WA Jimbo sumbawanga alikuwa padre ujerumani akateuliwa mojakwamoja kuwa askofu hiyo ni mifano tu
 
Mambo ya kawaida tu hayo...

Hata Askofu Kilaini aliteuliwa kuwa askofu akiwa huko Roma
Askofu mstaafu Damian kyaruzi aliteuliwa akiwa huko Rome
Askofu marehemu Nkalanga aliteuliwa Askofu akiwa huko Roma..

Askofu mkuu Novatus Rugambwa ni balozi wa papa huko fiji nk...
Nyie kuna hata mchaga Nunsio kweli[emoji23][emoji23]
Achana na Bukoba kabisa...
Tazam na huyu...


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Tunaongoza kwa .idadi ya maaskofu
Mapadre
Parokia
 
It's quite differ na hiyo Yako
Wewe uliwahi silia Kabila linajiita WAROMBO,wamachame etc?
Lakin wanyambo ni Kabila kamili can you see the difference?
Tuachane na hayo acha kujifanya kichwa ngumu....

Rudi sasa ukajenge mji wako uliochakaa wa moshi....Nimesikitika sana kuona moshi inazidi kuchakaa siku hadi siku

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
 
Sisi mkoa wetu pamoja na udogo wake unaongoxa kwa idadi ya parokia huoni maajabu?
Pia tuna majimbo mawili
 
Mji uliochakaa ni bukoba
Rudi mkoani Kwako ukahimize mãendeleo
Nimesikitika sana mkoa WA Kagera Kila Siku kuwa WA kwanza kwa umaskini View attachment 2688513
Achana na hizo takwimu za mchongo...walishakiri kuwa kagera iliongezewa watu laki Tano katika makadirio ya sensa 2021...ndo maana hiyo report ni ya 2021...
Tuje kwenye uhalisia....Moshi imechoka sana siku hiz...



At least Bukoba inazidi kukua siku hadi siku Tazama hapa.
What a beautiful town...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe hizo "Like" watu huwa mnatoa tu bila kusoma post? Ulimpa like kwenye ujinga huuhuu aliouandika kwenye post No. 226 halafu hapa unamkosoa!!
 
Acheni mambo ya ukabila nyie watu!!!!
 
Kumbe hizo "Like" watu huwa mnatoa tu bila kusoma post? Ulimpa like kwenye ujinga huuhuu aliouandika kwenye post No. 226 halafu hapa unamkosoa!!
[emoji2][emoji2][emoji2] like Ina maana nyingi
Naweza kumpa like kama alert ajue nimesoma post yake either wrong or correct
 
Bukoba vs moshi...

Compare and contrast[emoji23]...
Moshi kuna tatizo kubwa sana...mnadanganywa na takwimu zenu za michongo imagine[emoji23][emoji23]View attachment 2688517View attachment 2688518

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Wenye tatizo ni nyie ambao hâta mlo kwa watoto ni shida
Mna absolutely poverty ukiona MTU anashindwa kumudu chakula kwa watoto ujue huyo ni maskini WA kupindukia
Pambaneni na utapiamlo kwanza Sisi sio level yenu [emoji2]
 
Chakula tu kwa watoto kimekuwa shida Hadi udumavu ndio vingine mtaweza? Sisi ni next level kwanzia kipato,makazi bora,miundombnu bora,huduma za jamii
Yaani uchagani vijijin ni kama mjini Kila huduma IPO
Uchagan 90% ya Kila nyumba Ina umeme na maji Safi ya bomba wakati Kagera Hadi Léo Kuna maeneo watu Wana share Maji na tumbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…