Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,097
Wapoli poli tukiamua tunaweza. Wapolipoli juuuuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Big up kwa uhamuzi wa busara coz mapenz sio pesa wala utanashati. Pesa na utanashat/urembo vitakuja kama wapendanao watajishughulisha
Jitahidi kusoma sana,ujue usahihi wa kuandika maneno.
Wapoli poli tukiamua tunaweza. Wapolipoli juuuuuuu
hahaha. Shwari kaka? Narejea kitaa. Upo?
Ukiona mawasiliano ya simu au kivingine yanapungua taratibu jua mapenzi yanaporomoka kwa kasi na hapo ni signal kuwa jiandae kwa lolote!!! Sure nikiona nimpendaye anapunguza speed na kila nikimuuliza hana jibu la maana basi huwa sichelewi!! Nakata wire kabisa! Hakuna kupoteza muda na mtu asiyekujali, na katika maisha usitake kujiombea kwa mtu, that is mapenzi hayalazimishwi!! Hongera dada ulijishika na Polipoli lako!! Shida zinafanya watu hata sura inafifia na mambo yakikaa sawa financially wanang'aaa!!!
Wapolipoli Oyeeeee
Dot com generation hatupendi hadithi hadithi tunataka vitendo,,, mambo ya upori pori sijui uhadhiri peleka kijijini.. Mjini pesa tabia kijijini...
Let's me get ready for sweet 16.. Can't wait to see Gators advance to final four
Wapoli poli tukiamua tunaweza. Wapolipoli juuuuuuu
Ukiona mawasiliano ya simu au kivingine yanapungua taratibu jua mapenzi yanaporomoka kwa kasi na hapo ni signal kuwa jiandae kwa lolote!!! Sure nikiona nimpendaye anapunguza speed na kila nikimuuliza hana jibu la maana basi huwa sichelewi!! Nakata wire kabisa! Hakuna kupoteza muda na mtu asiyekujali, na katika maisha usitake kujiombea kwa mtu, that is mapenzi hayalazimishwi!! Hongera dada ulijishika na Polipoli lako!! Shida zinafanya watu hata sura inafifia na mambo yakikaa sawa financially wanang'aaa!!!
subiri part twoSwali jingine:
Mbona hatujasimuliwa huyo aliyepewa label ya Usharobaro yu wapi?