DolphinT
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 2,014
- 2,979
Kuna Ile wanasema WAZAZI WAMEUZA NG'OMBE WAKAPELEKA NG'OMBE INGINE SHULE!Mefurahi DolphinT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Ile wanasema WAZAZI WAMEUZA NG'OMBE WAKAPELEKA NG'OMBE INGINE SHULE!Mefurahi DolphinT
Kuna Ile wanasema WAZAZI WAMEUZA NG'OMBE WAKAPELEKA NG'OMBE INGINE SHULE!
😆😆😆😆 Kwa hiyo Mimi Ni boga
Watanzania wote Ni ndugu zangu ,labda Kama wewe Ni mkongo ManiHalafu unapoanza na thread Ndugu zangu, uache mana hatuna ndugu wa hovyo kama wewe!
Embu Tuliza akili kwanza, kwani wewe hujaona hatua za kimaendeleo tulizopiga Kama TaifaMapinduzi Zanzibar picha za watawala waliopo madarakani zimetamalaki kuliko picha za John Gideon Okello na wenzake. Abeid Karume aliyekuwa DSM siku ya mapinduzi anaitwa shujaa.
Umeweza kukubali kuwa kuna Tanzania bara na Zanzibar wakati ukweli ni Tanganyika na Zanzibar hii mtawala wanataka kuficha.
Wameshindwa kueleza Rasilimali zetu zina faida gani. Unawekwa ujinga kwenye siri za watu kutaka kuongoza kwa ufisadi.
Embu Tuliza akili kwanza, kwani wewe hujaona hatua za kimaendeleo tulizopiga Kama Taifa
Uwe unasoma kabla ya kuandika,angalia niliyekuwa namjibu na alivyokuwa ameuliza,Ina uhusiano Gani na utopolo ulioandika? Hata maskini ana maendleo inategemea maendeleo unaya define vipi! Nilikuomba CV yako ukakimbia kuficha ujinga WAKO!
Alokudanganya hii ni Njia ya uteuzi amekupoteza ndio maana sasa unataka kushika nyeti za serikali Ili ishtuke!
Ndio mana gt kama kina Pasco au gentamicin au johnthepatist huwakuti wakichagia kwenye hizi takataka zako!
Ndugu zangu watanzania,
Kuna kipindi kulikuwa Kuna washangaza wazalendo wengi Sana juu ya Uvujaji na usambaaji wa Siri na Nyaraka za Siri za serikali, watu walikuwa wanaona fahari kuvujisha Siri za serikali na Nyaraka za serikali, ilikuwa Ni kawaida kukuta na kuona mitandaoni habari nyeti za serikali. Nilikuwa najiuliza ujasiri huo ulikuwa unatoka wapi wa kufanya hayo mambo pasipo kuhukumiwa na dhamira zao juu ya viapo vyao.vikali kimaneno.
Ndugu zangu Ili ushinde Vita ya aina yoyote Ile Ni lazima uwe msiri wa mambo yako,mipango yako,mikakati yako na mbinu zako za kimedani. Huwezi ukaishinda Vita kwa kuandika Siri za jeshi lako hadharani utafikiri pumba za mashineni, mataifa yaliyoendelea na yenye nguvu za kijeshi, kiuchumi, kisayansi, kiteknolojia, kijasusi na kiinterejensia yamefanikiwa katika suala la utunzaji wa Siri na kuzilinda Siri za mafanikio Yao kwa jasho na Damu, hawana mchezo katika suala la Siri za Taifa na Nyaraka za serikali au vyombo vya ulinzi na usalama na mipango yake.
Ifahamike kuwa kuvujisha Siri na Nyaraka za serikali ni hatari kiusalama. Ni kulivua Nguo Taifa kwa kuwa inatoa mwanya kwa maadui zetu na wapinzani wetu wa kiuchumi na hata maadui zetu kiusalama kuweza kupata mahali pa kuanzia na kujuwa udhaifu wetu ulipo, wanapata kujuwa udhaifu wetu wa kutunza mambo yenye maslahi kwa Taifa letu na hivyo kuwa Rahisi kutuhujumu kiuchumi na hata kiusalama.
Kwa bahati nzuri Tangia ameingia madarakani mama yetu mpendwa kipenzi Cha watanzania, mama imara na shupavu. Jasiri na mzalendo wa kweli Mama Samia Suluhu Hassan kumeonekana kupatiwa dawa kwa Tabia hii mbaya iliyokuwa inataka kumea hapa nchini kwa baadhi ya watumishi, kwa Sasa watu wanashindwa hata kubashiri ni nani anaweza kuteuliwa katika nafasi fulani hata Kama mh Rais akisema kuwa anataka kufanya mabadiliko mahali fulani kwa wasaidizi wake, iwe Ni kwenye chama aliko Kama Mwenyekiti au serikalini ambako Ni Rais na Amiri Jeshi mkuu amedhibiti Sana Uvujaji Wa Siri za serikali Hali iliyoleta utulivu serikalini na kuondoa Taharuki kwa wananchi, imeondoa presha na hata sintofahamu iliyokuwa ikitokea na maneno maneno.
Mimi Mwashambwa nikiwa Kama mzalendo na mpenda nchi yangu nawapongeza Sana wale wote waliokula viapo vya kutunza Siri mahali pa kazi kwa kuwa waadilifu na wenye kuzingatia viapo vyao, Nawasihi Kuendelea na moyo huo kwa maslahi mapana ya Taifa letu, kila mmoja wetu aliyepewa dhamana ahakikishe anatunza Siri za serikali kwa Kiwango Cha juu, kusiwepo kuishiwa uvumilivu katika suala la kiapo, Taifa letu Ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, Na kila mtu ajione mwenye hatia inayostahili adhabu Kali ya majuto na majonzi avujishapo Siri za serikali.
Rai yangu kwa wahusika Ni kuhakikisha kuwa maafisa wote serikalini wanazingatia viapo vyao, isitokee hata kwa bahati mbaya mambo ya serikali yanatoka nje na kuleta Taharuki na kutetemesha usalama wetu, kila mmoja aliyepewa dhamani Ahakikishe anakuwa msiri ikiwezekana hata kufa kwa ajili ya kulinda maslahi ya Taifa letu kwa maslahi mapana ya vizazi vijavyo.
Hongera Sana Rais wangu, Umethibitisha uimara na ushupavu wako, umetoa dira na muelekeo wa serikali yako, mausia na maonyo uliyoyatoa hadharani yamezingatiwa na sisi watanzania Tumeona matokeo yake. Tunakuamini sana Rais wetu, tunakuunga mkono, tupo bega kwa bega na wewe, tunakupigania mitaani na kukusemea kila mahali.
Tunaendelea kukuombea afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia wananchi wako, Songa mbele kwa nguvu maana tulio upande wako Ni wengi zaidi ya wale walio kinyume na wewe kwa maslahi yao binafsi, umefanikiwa Kuiteka na kuitawala mioyo ya watanzania kwa uchapa kazi wako, ndio maana unaona utulivu na Amani ukiwa umetamalaki hapa nchini.
Kazi Iendeleee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Hahaaa nikufananishe na ule mmea tena?Wana chadema siwabagui Ila siku zote naamini asilimia kubwa ya wanachadema wanahitaji kuongozwa kwa kuonyesha mstari wa kupita maana bila hivyo wanaweza wakakupanda kichwani,No watu wasioeleweka na vigeu geu, wamekosa staha na adabu katika midomo Yao hasa vijana wao, wamejaa matusi wanayoweza wakam poromoshea hata anayelibgana na baba yao,hapa Rejea kimaneno michafu ya mdude chadema,katika hili nabaki na msimamo wangu kuwa Ni wanachadema wachache Sana wenye kujitambua Ila wengi wao akili zao wanazijuwa wenyewe ,hawana adabu wala staha, hawana heshima Wala busara, wamejaa mihemuko tu na majazba utafikiri wamekosa malezi na mtu wa kuwalea kimaadili
Uwe unasoma kabla ya kuandika,angalia niliyekuwa namjibu na alivyokuwa ameuliza,
Unakumbuka na unafikiri kwa Nini mh Rais aliwakumbusha watumishi juu ya kulinda Nyaraka za serikali? Unafikiri aliongea kwa bahati mbaya? Unafikiri kwanini alikemea suala Hilo na kutoa onyo kwa watu wenye Tabia ya kuwek Nyaraka za serikali mitandaoni? Unakumbuka na kuwakumbuka akina mange kimambi ! Unafahamu kilicho mpa umaarufu Hadi nyie wanachadema mkamuona Kama mkombozi wenu wa kuwasemea? Unakumbuka mlikuwa mnamshangilia na kutega masikio yenu na macho yenu kwake? Au umesahau kwa kuwa nyie huwa wasahaulifu Kama ndegeHahaaa nikufananishe na ule mmea tena?
Kwenye mabandiko yako mengi unaandika hivi machadema kama unabisha kapitie mabandiko yako ewe usiye na kumbu kumbu.
Sasa mada yangu sio hiyo na sitaki unitoe kwenye reli! Naomba utuambia Siri za serikali ziliwahi kuvuja hapo nyuma Nani alikua anavujisha na utupe tu mifano angalau mitatu na zikahatarisha usalama WA NCHI na kukwamisha maendeleo ya taifa hili na
Mama Samia akalifanyia Kazi kwa weledi mkubwa hata Leo ukaamua kukaa chini usiku huu na kutupandishia huu uzi!
Hapa tuende hoja kwa Hoja tafadhali maana gazeti lako limesheheni mambo mengi ambayo hata yeye akisoma atashtuka.
Ninachokumbuka mwezi Nov Mwishoni alikumbusha umuhimu wa kutunza nyaraka na Siri za serikali!
Utuambie classified au secret, top secret information na confidential information zilizokua zinavuja kipindi Cha Jiwe na hata jk zikahatarisha usalama WA NCHI na kukwamisha maendeleo ya NCHI na Samia amelufanyia kazi na utuambie namna amelufanyia Kazi na wahusika kadhaa wametiwa nguvuni na hatua Gani zimechukuliwa na sasa NCHI ipo salama na ukaamua kuleta huu Uzi!
Ukishindwa kufanya hivyo nitakujibu jambo
Unakumbuka na unafikiri kwa Nini mh Rais aliwakumbusha watumishi juu ya kulinda Nyaraka za serikali? Unafikiri aliongea kwa bahati mbaya? Unafikiri kwanini alikemea suala Hilo na kutoa onyo kwa watu wenye Tabia ya kuwek Nyaraka za serikali mitandaoni? Unakumbuka na kuwakumbuka akina mange kimambi ! Unafahamu kilicho mpa umaarufu Hadi nyie wanachadema mkamuona Kama mkombozi wenu wa kuwasemea? Unakumbuka mlikuwa mnamshangilia na kutega masikio yenu na macho yenu kwake? Au umesahau kwa kuwa nyie huwa wasahaulifu Kama ndege
Acha ujinga wa kuandika utafikiri umelewa pombeAliyekuwa anavujisha siri kipindi kile na kumpa kigogo 2014 ndiye kawa rais unategemea nani avujishe .
Waliokuwa wanavujisha siri ni wale wale wa lile genge la kifisadi ambao jiwe alikuwa anapambana nao na kuna wenzao jiwe aliwaamini na kuwaingiza ndani ya serikali.Zitaje basi ni zipi hizo siri zilizovuja
umeandika kwa kujipendekeza,hajadhibiti ila anaishi nao vema kwa kiasi.Ndugu zangu watanzania,
Kuna kipindi kulikuwa Kuna washangaza wazalendo wengi Sana juu ya Uvujaji na usambaaji wa Siri na Nyaraka za Siri za serikali, watu walikuwa wanaona fahari kuvujisha Siri za serikali na Nyaraka za serikali, ilikuwa Ni kawaida kukuta na kuona mitandaoni habari nyeti za serikali. Nilikuwa najiuliza ujasiri huo ulikuwa unatoka wapi wa kufanya hayo mambo pasipo kuhukumiwa na dhamira zao juu ya viapo vyao.vikali kimaneno.
Ndugu zangu Ili ushinde Vita ya aina yoyote Ile Ni lazima uwe msiri wa mambo yako,mipango yako,mikakati yako na mbinu zako za kimedani. Huwezi ukaishinda Vita kwa kuandika Siri za jeshi lako hadharani utafikiri pumba za mashineni, mataifa yaliyoendelea na yenye nguvu za kijeshi, kiuchumi, kisayansi, kiteknolojia, kijasusi na kiinterejensia yamefanikiwa katika suala la utunzaji wa Siri na kuzilinda Siri za mafanikio Yao kwa jasho na Damu, hawana mchezo katika suala la Siri za Taifa na Nyaraka za serikali au vyombo vya ulinzi na usalama na mipango yake.
Ifahamike kuwa kuvujisha Siri na Nyaraka za serikali ni hatari kiusalama. Ni kulivua Nguo Taifa kwa kuwa inatoa mwanya kwa maadui zetu na wapinzani wetu wa kiuchumi na hata maadui zetu kiusalama kuweza kupata mahali pa kuanzia na kujuwa udhaifu wetu ulipo, wanapata kujuwa udhaifu wetu wa kutunza mambo yenye maslahi kwa Taifa letu na hivyo kuwa Rahisi kutuhujumu kiuchumi na hata kiusalama.
Kwa bahati nzuri Tangia ameingia madarakani mama yetu mpendwa kipenzi Cha watanzania, mama imara na shupavu. Jasiri na mzalendo wa kweli Mama Samia Suluhu Hassan kumeonekana kupatiwa dawa kwa Tabia hii mbaya iliyokuwa inataka kumea hapa nchini kwa baadhi ya watumishi, kwa Sasa watu wanashindwa hata kubashiri ni nani anaweza kuteuliwa katika nafasi fulani hata Kama mh Rais akisema kuwa anataka kufanya mabadiliko mahali fulani kwa wasaidizi wake, iwe Ni kwenye chama aliko Kama Mwenyekiti au serikalini ambako Ni Rais na Amiri Jeshi mkuu amedhibiti Sana Uvujaji Wa Siri za serikali Hali iliyoleta utulivu serikalini na kuondoa Taharuki kwa wananchi, imeondoa presha na hata sintofahamu iliyokuwa ikitokea na maneno maneno.
Mimi Mwashambwa nikiwa Kama mzalendo na mpenda nchi yangu nawapongeza Sana wale wote waliokula viapo vya kutunza Siri mahali pa kazi kwa kuwa waadilifu na wenye kuzingatia viapo vyao, Nawasihi Kuendelea na moyo huo kwa maslahi mapana ya Taifa letu, kila mmoja wetu aliyepewa dhamana ahakikishe anatunza Siri za serikali kwa Kiwango Cha juu, kusiwepo kuishiwa uvumilivu katika suala la kiapo, Taifa letu Ni muhimu kuliko kitu kingine chochote, Na kila mtu ajione mwenye hatia inayostahili adhabu Kali ya majuto na majonzi avujishapo Siri za serikali.
Rai yangu kwa wahusika Ni kuhakikisha kuwa maafisa wote serikalini wanazingatia viapo vyao, isitokee hata kwa bahati mbaya mambo ya serikali yanatoka nje na kuleta Taharuki na kutetemesha usalama wetu, kila mmoja aliyepewa dhamani Ahakikishe anakuwa msiri ikiwezekana hata kufa kwa ajili ya kulinda maslahi ya Taifa letu kwa maslahi mapana ya vizazi vijavyo.
Hongera Sana Rais wangu, Umethibitisha uimara na ushupavu wako, umetoa dira na muelekeo wa serikali yako, mausia na maonyo uliyoyatoa hadharani yamezingatiwa na sisi watanzania Tumeona matokeo yake. Tunakuamini sana Rais wetu, tunakuunga mkono, tupo bega kwa bega na wewe, tunakupigania mitaani na kukusemea kila mahali.
Tunaendelea kukuombea afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia wananchi wako, Songa mbele kwa nguvu maana tulio upande wako Ni wengi zaidi ya wale walio kinyume na wewe kwa maslahi yao binafsi, umefanikiwa Kuiteka na kuitawala mioyo ya watanzania kwa uchapa kazi wako, ndio maana unaona utulivu na Amani ukiwa umetamalaki hapa nchini.
Kazi Iendeleee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627