Nampongeza Rais Samia na Serikali yake Kudhibiti uvujaji wa siri na Nyaraka za Serikali

Embu Tuliza akili kwanza, kwani wewe hujaona hatua za kimaendeleo tulizopiga Kama Taifa
 
Ina uhusiano Gani na utopolo ulioandika? Hata maskini ana maendleo inategemea maendeleo unaya define vipi! Nilikuomba CV yako ukakimbia kuficha ujinga WAKO!
Alokudanganya hii ni Njia ya uteuzi amekupoteza ndio maana sasa unataka kushika nyeti za serikali Ili ishtuke!
Ndio mana gt kama kina Pasco au gentamicin au johnthepatist huwakuti wakichagia kwenye hizi takataka zako!
Embu Tuliza akili kwanza, kwani wewe hujaona hatua za kimaendeleo tulizopiga Kama Taifa
 
Uwe unasoma kabla ya kuandika,angalia niliyekuwa namjibu na alivyokuwa ameuliza,
 
Ucwe mzalendo.mjinga
 
Hahaaa nikufananishe na ule mmea tena?
Kwenye mabandiko yako mengi unaandika hivi machadema kama unabisha kapitie mabandiko yako ewe usiye na kumbu kumbu.
Sasa mada yangu sio hiyo na sitaki unitoe kwenye reli! Naomba utuambia Siri za serikali ziliwahi kuvuja hapo nyuma Nani alikua anavujisha na utupe tu mifano angalau mitatu na zikahatarisha usalama WA NCHI na kukwamisha maendeleo ya taifa hili na
Mama Samia akalifanyia Kazi kwa weledi mkubwa hata Leo ukaamua kukaa chini usiku huu na kutupandishia huu uzi!

Hapa tuende hoja kwa Hoja tafadhali maana gazeti lako limesheheni mambo mengi ambayo hata yeye akisoma atashtuka.

Ninachokumbuka mwezi Nov Mwishoni alikumbusha umuhimu wa kutunza nyaraka na Siri za serikali!

Utuambie classified au secret, top secret information na confidential information zilizokua zinavuja kipindi Cha Jiwe na hata jk zikahatarisha usalama WA NCHI na kukwamisha maendeleo ya NCHI na Samia amelufanyia kazi na utuambie namna amelufanyia Kazi na wahusika kadhaa wametiwa nguvuni na hatua Gani zimechukuliwa na sasa NCHI ipo salama na ukaamua kuleta huu Uzi!

Ukishindwa kufanya hivyo nitakujibu jambo
 
Unakumbuka na unafikiri kwa Nini mh Rais aliwakumbusha watumishi juu ya kulinda Nyaraka za serikali? Unafikiri aliongea kwa bahati mbaya? Unafikiri kwanini alikemea suala Hilo na kutoa onyo kwa watu wenye Tabia ya kuwek Nyaraka za serikali mitandaoni? Unakumbuka na kuwakumbuka akina mange kimambi ! Unafahamu kilicho mpa umaarufu Hadi nyie wanachadema mkamuona Kama mkombozi wenu wa kuwasemea? Unakumbuka mlikuwa mnamshangilia na kutega masikio yenu na macho yenu kwake? Au umesahau kwa kuwa nyie huwa wasahaulifu Kama ndege
 
BBrO

Bro jibu Hoja acha kutanga tanga!
Mpaka Leo Rais akifanya uteuzi kurugenzi ya mawasiliano ikulu inaweka taarifa mitandaoni ikiwemo website ya ikulu na hata tweeter ya Rais.
Wizara ikitoa ufafanuzi au taarifa ya jambo inaweka taarifa kwenye website ya wizara na kwenye mitandaonya kijami

Kitengo Cha mawasiliano serikalini kikitoa taarifa yoyote kinaweka taarifa Hiyo kwenye website husika na tunazipata kupitia mitandaoni vile vile! Hizo Sio nyaraka za serikali? Au ni nyaraka za familia ya President!


Sasa Hoja haijajibiwa nutajie angalau Siri tatu tu za serikali zilizohatarisha usalama WA NCHI ambazo alitoa huyo unayemwita Mange kimambi ambaye najua sifa yake Kubwa ilikua ni kuitukana serikali na sidhani kama Kuna information ambayo ni secret au top secret au secret secret ambayo amewahi kuivujisha ikahatarisha usalama wa NCHI na kukwamisha maendeleo! (Kama ipo weka)

Nakukumbusha tofautusha Habari za kiuchunguzi zilizoibua kashfa mbali mbali kama kagoda, Richmond na dowans ambazo zote hizo ziliitia serikali hasara plus escrow!

Kama ndio hizo unazungumzia BASi we ni Sawa na torch isiyo na battery au charge at all!

Mange hajawahi kuwa source of information wa chadema au afisa Habari wa chadema, na kwa taarifa yako Mange ni kada wa Ccm pamoja na familia yake kama hujui Hilo na mwaka Jana kampokea Mama yako huko Marekani na kapiga nae picha! Sijui kama unajua?

Mwashambwa jitahidi kuwa critical analytic mana unaruka ruka tu ukiandika ngonjera, Mama hakukekemea alikumbusha wajibu ambako ni jambo la kawaida wewe umekurupuka huko eti amefanikiwa kudhibiti amwdhibiti maana kulikua na tatizo Sawa dogo.

Uwe unakaa chini unachanganua Nini matokeo ya ninachoandika! Maandishi hayafutiki Ndugu!

Kwa MTU mwenye akili timamu anayejua kuchambua na kufuatilia mambo katika mabandiko yako yote, unaulinganisha utawala wa Samia na utawala wa Jiwe na hali kadhalika unaonesha kuwa utawala wa Jiwe haukuwahi kufanya chochote!
Sasa nikwambie kwa tabia ya CCM wewe unahesabika kama msaliti mchumia tumbo, akija Rais mwingine utamponda Samia indirect na kwa maana Hiyo namba Yako ya cm itabakia dormant Hivyo tu don't expect any call from madam president!

Leo umeanza kuzungumzia Siri za NCHI as if wewe ni mchambuzi wa maswala ya usalama na Sio siasa tena! Kesho utshindwa kuizungumzia TISS na muundo wake na kumpongeza Rais kwa kuiunda vyema as if unamsaidia kufanya vetting?
Pathetic mediocre!
Kuchamba mwingi kushika mavi!
Jibu hayo maswali hapo Nimekaa pale

Mit 26:4-12
Mit 26:4-12 SUV
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye. Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake. Apelekaye ujumbe kwa mkono wa mpumbavu Hujikata miguu, na kunywa hasara. Miguu yake achechemeaye huwa dhaifu; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu. Kama mfuko wa vito katika chungu ya mawe; Kadhalika mtu amheshimuye mpumbavu. Kama mwiba uingiao katika mkono wa mlevi; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu.
 
Aliyekuwa anavujisha siri kipindi kile na kumpa kigogo 2014 ndiye kawa rais unategemea nani avujishe .
 
Aliyekua anavujisha ni kigogo, kigogo kashika mpini zinaanzaje kuvuja. Mchawi mpe mwana alee
 
Zitaje basi ni zipi hizo siri zilizovuja
Waliokuwa wanavujisha siri ni wale wale wa lile genge la kifisadi ambao jiwe alikuwa anapambana nao na kuna wenzao jiwe aliwaamini na kuwaingiza ndani ya serikali.
 
Mchawi mpe mtoto wako akulelee hawezi mroga au kumuua. msidhani huo msemo ulikuja bahati mbaya.

Hivi mtu anawezaje toa siri zake mwenyewe jamani? Tulisha choka mtuwache kha!
 
umeandika kwa kujipendekeza,hajadhibiti ila anaishi nao vema kwa kiasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…