Nampongeza Robert Hariel kwa uandishi wake wakini hapa JF

Nampongeza Robert Hariel kwa uandishi wake wakini hapa JF

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
Nitoe pongezi kwa ROBERT HERIEL nimekua msomaji wa maandiko yake mengi humu JF na nikiri wazi kua kijana huyu (naamini ni mwanaume kutokana na hulka na uandishi wake) analenga taswira chanya katika kila andiko lake.

Hana tabia ya kupindisha ukweli ili kupeti peti wanajukwaa, jamaa atasema ukweli hata kama utakua kinyume na walio wengi. Katika maandiko yake pasina shaka ni kijana mwenye uelewa wa kutosha katika saikolojia ya jamii aidha kwa kusoma au kwa uzoefu, ana exposure juu ya masuala ya uchumi na kanuni za uchumi, kwenye mahusiano anayadadavua vema majukumu na nafasi ya mwanamke na mwanaume.

Kuna mambo mengi katika nyanja tofauti hua natamani kuandika ila nagairi kuandika kutokana na kukosa strategy za kudadafua ila nakuta kijana umedadafua kwa ustadi hongera mkuu ROBERT HERIEL
 
Nitoe pongezi kwa ROBERT HERIEL nimekua msomaji wa maandiko yake mengi humu JF na nikiri wazi kua kijana huyu (naamini ni mwanaume kutokana na hulka na uandishi wake) analenga taswira chanya katika kila andiko lake.

Hana tabia ya kupindisha ukweli ili kupeti peti wanajukwaa, jamaa atasema ukweli hata kama utakua kinyume na walio wengi. Katika maandiko yake pasina shaka ni kijana mwenye uelewa wa kutosha katika saikolojia ya jamii aidha kwa kusoma au kwa uzoefu, ana exposure juu ya masuala ya uchumi na kanuni za uchumi, kwenye mahusiano anayadadavua vema majukumu na nafasi ya mwanamke na mwanaume.

Kuna mambo mengi katika nyanja tofauti ila nagairi kuandika kutokana na kukosa strategy za kudadafua ila nakuta kijana umedadafua kwa ustadi hongera mkuu ROBERT HERIEL
Umeona ujipe shavu mwenyewe!!!
 
Nitoe pongezi kwa ROBERT HERIEL nimekua msomaji wa maandiko yake mengi humu JF na nikiri wazi kua kijana huyu (naamini ni mwanaume kutokana na hulka na uandishi wake) analenga taswira chanya katika kila andiko lake.

Hana tabia ya kupindisha ukweli ili kupeti peti wanajukwaa, jamaa atasema ukweli hata kama utakua kinyume na walio wengi. Katika maandiko yake pasina shaka ni kijana mwenye uelewa wa kutosha katika saikolojia ya jamii aidha kwa kusoma au kwa uzoefu, ana exposure juu ya masuala ya uchumi na kanuni za uchumi, kwenye mahusiano anayadadavua vema majukumu na nafasi ya mwanamke na mwanaume.

Kuna mambo mengi katika nyanja tofauti hua natamani kuandika ila nagairi kuandika kutokana na kukosa strategy za kudadafua ila nakuta kijana umedadafua kwa ustadi hongera mkuu ROBERT HERIEL

Mkuu Nashukuru.
Sina mengi isipokuwa kusema Barikiwa Sana
 
Kuna mada inahusu wanawale kupigwa au kuto kupigwa kwa dhumuni la kuweka heshma mada ile aliipangilia vyema. Kwa mkono wa ROBERT HERIEL
 
Za ndaaaaaani kabisa wanasema hii ni SELF PROMO KWA KUTUMIA ID NYINGINE ili kuwapa attention watu wamfuatilie zaidi😀
Kuna watu wanafanya vitu vizuri sana kwenye hizi forums na michango yao inabadili maisha ya watu kwa namna moja au nyingine.

Sio kila mtu ni mchoyo wa kutoa sifa, ndio unaona wanaweka wazi hisia zao. Tusiwe watu wa kukatisha watu tamaa.
 
Ukila kitu cha cannabis utakua zaidi yake njoo ni roll blunt moja tu tupige puff puff pass puff puff uone
Hata akili za anasa anasa utakua huna we utakua unawaza malengo yako tu madem unaona Kama hawana maana.
 
Back
Top Bottom