Nampongeza Robert Hariel kwa uandishi wake wakini hapa JF

Nampongeza Robert Hariel kwa uandishi wake wakini hapa JF

Sawa kabisa, namshauri ROBERT HERIEL acompile makala zake na kutoa kajitabu kadogo, itamsaidia kuhifadhi juhudi zake na kupata wasomaji wengi zaidi. Baadhi ya makala ni too controversial anapaswa kuzichambua na kuzi-edit ziwe na mafundisho kwa jamii na pia zieleweka kwa urahisi zaidi.
Ni wazo bora sana ROBERT HERIEL pokea ushauri makini huu
 
Back
Top Bottom