Nampongeza Robert Hariel kwa uandishi wake wakini hapa JF

Nampongeza Robert Hariel kwa uandishi wake wakini hapa JF

Nitoe pongezi kwa ROBERT HERIEL nimekua msomaji wa maandiko yake mengi humu JF na nikiri wazi kua kijana huyu (naamini ni mwanaume kutokana na hulka na uandishi wake) analenga taswira chanya katika kila andiko lake.

Hana tabia ya kupindisha ukweli ili kupeti peti wanajukwaa, jamaa atasema ukweli hata kama utakua kinyume na walio wengi. Katika maandiko yake pasina shaka ni kijana mwenye uelewa wa kutosha katika saikolojia ya jamii aidha kwa kusoma au kwa uzoefu, ana exposure juu ya masuala ya uchumi na kanuni za uchumi, kwenye mahusiano anayadadavua vema majukumu na nafasi ya mwanamke na mwanaume.

Kuna mambo mengi katika nyanja tofauti hua natamani kuandika ila nagairi kuandika kutokana na kukosa strategy za kudadafua ila nakuta kijana umedadafua kwa ustadi hongera mkuu ROBERT HERIEL
huyu bro yupo vizuri sana sema hajatuelezea tungo za kimasihara yake kwenye ule uzi pendwa wa rikiboy.
 
Nitoe pongezi kwa ROBERT HERIEL nimekua msomaji wa maandiko yake mengi humu JF na nikiri wazi kua kijana huyu (naamini ni mwanaume kutokana na hulka na uandishi wake) analenga taswira chanya katika kila andiko lake.

Hana tabia ya kupindisha ukweli ili kupeti peti wanajukwaa, jamaa atasema ukweli hata kama utakua kinyume na walio wengi. Katika maandiko yake pasina shaka ni kijana mwenye uelewa wa kutosha katika saikolojia ya jamii aidha kwa kusoma au kwa uzoefu, ana exposure juu ya masuala ya uchumi na kanuni za uchumi, kwenye mahusiano anayadadavua vema majukumu na nafasi ya mwanamke na mwanaume.

Kuna mambo mengi katika nyanja tofauti hua natamani kuandika ila nagairi kuandika kutokana na kukosa strategy za kudadafua ila nakuta kijana umedadafua kwa ustadi hongera mkuu ROBERT HERIEL
Sawa kabisa, namshauri ROBERT HERIEL acompile makala zake na kutoa kajitabu kadogo, itamsaidia kuhifadhi juhudi zake na kupata wasomaji wengi zaidi. Baadhi ya makala ni too controversial anapaswa kuzichambua na kuzi-edit ziwe na mafundisho kwa jamii na pia zieleweka kwa urahisi zaidi.
 
Za ndaaaaaani kabisa wanasema hii ni SELF PROMO KWA KUTUMIA ID NYINGINE ili kuwapa attention watu wamfuatilie zaidi😀
Dah!! Kumbe Great thinkers tu wengi!! Niko pamoja nawe kulidadavua suala hili [emoji23][emoji23]
 
Ukila kitu cha cannabis utakua zaidi yake njoo ni roll blunt moja tu tupige puff puff pass puff puff uone
Hata akili za anasa anasa utakua huna we utakua unawaza malengo yako tu madem unaona Kama hawana maana.
Hahaaa...we jamaa sijui umewaza nini
 
Kiukweli nami nimpe pongezi kupitia uzi huu,, wanaosema anajipa promo uwanja uko huru na nyie jipeni promo,, Kama huwa anakaa na kuandika mwenyewe hanakili sehemu yoyote Basi ana moyo wa pekee,, hao ndo wanaoheshimisha JamiiForum,

Japo sio mara zote huwa nakubaliana nae,
 
Nitoe pongezi kwa ROBERT HERIEL nimekua msomaji wa maandiko yake mengi humu JF na nikiri wazi kua kijana huyu (naamini ni mwanaume kutokana na hulka na uandishi wake) analenga taswira chanya katika kila andiko lake.

Hana tabia ya kupindisha ukweli ili kupeti peti wanajukwaa, jamaa atasema ukweli hata kama utakua kinyume na walio wengi. Katika maandiko yake pasina shaka ni kijana mwenye uelewa wa kutosha katika saikolojia ya jamii aidha kwa kusoma au kwa uzoefu, ana exposure juu ya masuala ya uchumi na kanuni za uchumi, kwenye mahusiano anayadadavua vema majukumu na nafasi ya mwanamke na mwanaume.

Kuna mambo mengi katika nyanja tofauti hua natamani kuandika ila nagairi kuandika kutokana na kukosa strategy za kudadafua ila nakuta kijana umedadafua kwa ustadi hongera mkuu ROBERT HERIEL
[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
 
Nitoe pongezi kwa ROBERT HERIEL nimekua msomaji wa maandiko yake mengi humu JF na nikiri wazi kua kijana huyu (naamini ni mwanaume kutokana na hulka na uandishi wake) analenga taswira chanya katika kila andiko lake.

Hana tabia ya kupindisha ukweli ili kupeti peti wanajukwaa, jamaa atasema ukweli hata kama utakua kinyume na walio wengi. Katika maandiko yake pasina shaka ni kijana mwenye uelewa wa kutosha katika saikolojia ya jamii aidha kwa kusoma au kwa uzoefu, ana exposure juu ya masuala ya uchumi na kanuni za uchumi, kwenye mahusiano anayadadavua vema majukumu na nafasi ya mwanamke na mwanaume.

Kuna mambo mengi katika nyanja tofauti hua natamani kuandika ila nagairi kuandika kutokana na kukosa strategy za kudadafua ila nakuta kijana umedadafua kwa ustadi hongera mkuu ROBERT HERIEL

ROBERT HERIEL unajipigia debe sana. Kwanini unajiita majina ya kizungu mawili halafu kwa maneno makubwa.

Unapiga kelele nyingi sana, una inferiority confidence kubwa sana, jifunze kuongea taratibu bila kupiga kelele nyingi.

Simama, tafuta jina ulipotoka, la baba yako, babu zako, uliopewa.

Tumia herufi ndogo kwenye majina yako ukiachia mwanzo wa jina lako. Nafikiri unajiita msomi.
 
1. Ni kweli kabisa huyu The unpaid Seller ndiye ROBERT HERIEL
2. Ni kweli kabisa huyu kijana ni mwandishi mzuri sana
3. Ni kweli kabisa kwamba binafsi ndo mwandishi ambaye nimewahi kuweka makala yake kwenye iBook yangu. Uzi wenyewe ulikuwa unawakumbusha wazazi kutowalaumu wake zetu kwamba wao ndo sababu ya sisi kutowatumia pesa. Ni moja kati ya makala ambazo nimewahi kusoma zaidi ya mara moja.

Aquila nunca capit muscas!
 
Back
Top Bottom