Mihogo nikila inanikifu mapema sana halafu itachukua muda mrefu kusikia hamu ya kuila tena, siwezi kuila mingi wala kwa siku kadhaa mfululizo kama vyakula vingine.Ingawa mie sio mlaji sana lkn katika chakula nnachoweza kula sn ni mihogo. Yaani hadi leo mchana pia nimekula huohuo. Ila baadae inanitesa kwa gesi lkn sikomi
My favourite muhogo wa nazi kwa nyama ya jembe ๐View attachment 3159762
Wanatangaza biashara kwa mtindo huu!!!Sawa aslay mihogo tumekuskia tunakuja๐๐๐๐
Evelyn Salt anawwza akakutengenezea senema humu hadi watu wakajua mnamanuana kume ni kinyume chake.Ww unazijua akili za Evelyn Salt ? hata PM hajatuma.
Ila huyo simtaki, anazingua sana namsubiri mzee mwenzangu Madame B aje online nikamlishe mihogo ya aina mbili tofauti
Kipande cha Muogo mmoja bukuTupe mchanganuo wa bei
Evelyn Salt sahv kawa mlokole, kwa hiyo mambo ya wakubwa wakubwa anasema yatamkomaza.Ww unazijua akili za Evelyn Salt ? hata PM hajatuma.
Ila huyo simtaki, anazingua sana namsubiri mzee mwenzangu Madame B aje online nikamlishe mihogo ya aina mbili tofauti
Nafuu siku za kazi kuna utulivu kiasi.Nadhani hapo panawafaa wahuni wahuni na watu wanaopenda kula ili waonekane na sio kula kustarehe na kurelax........
Utulivu hakuna na ustaarabu ndio hakuna kabisa.......
HahahaaaEvelyn Salt sahv kawa mlokole, kwa hiyo mambo ya wakubwa wakubwa anasema yatamkomaza.
Tuje kwenye mada, unataka mihogo gani kwanza?
Pm yangu iko wazi. Labda kama unamaanisha nikupe lipa namba yanguHahahaaa
Jibu pm basi
Mtumishi njoo kwa Yesu achana na mamihogo ๐นEvelyn Salt sahv kawa mlokole, kwa hiyo mambo ya wakubwa wakubwa anasema yatamkomaza.
Tuje kwenye mada, unataka mihogo gani kwanza?
Mie zamani sana nimeachana na mambo ya Dunia kama wewe ๐ค.Mtumishi njoo kwa Yesu achana na mamihogo ๐น