GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,796
- 4,497
πππππππππππππWanafikisha ila kitafika kimepoa
Tuliletewa samaki wa mchuzi waka mpaka nikasema huyu samak anafufuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππππππππWanafikisha ila kitafika kimepoa
Tuliletewa samaki wa mchuzi waka mpaka nikasema huyu samak anafufuka
Kula maboga na mnafu sio lazima ule vitamu mkuuUbunifu uko wapi hapo??
Mimi hunilishi Samaki na mihogo.
Unamkumbuka bolo- young, yule actor wa kichina akicheza move na van dame?Hivi ni Aslay yule msanii ama ni jina tu? Huwa naona matangazo ,panatamanishaπ twendeni wakuuπ€
No simkumbuki wala sijawahi kuiona hiyo movie, ulitaka kusemaje kwani?Unamkumbuka bolo- young, yule actor wa kichina akicheza move na van dame?
Jichanganye uende na Buku mbili yako ukijua ni mihogo ya mtaani, utaacha mpaka sendoz zako πππHivi bei zake zipoje? Naona anatumia nguvu sana kutangaza
bei sasa πyuko vizuri, mihogo inaonekana laani pia
Aslay unatumia account hii kumbe?Last week nilipita pale nikapata zangu Samaki na Mihogo swaaaafi kabisa. Hio ni baada ya kuona matangazo mbali mbali instagram kuhusu Aslay Mihogo
Vijana kuweni wabunifu, huyu anakuchanganyia Samaki na Mihogo hadi unajiramba ramba.
Basi aje mrembo mmoja PM kesho niende nae tena
Basi ukienda kwa aslay wa mihogo jiandae kukutana nae boloNo simkumbuki wala sijawahi kuiona hiyo movie, ulitaka kusemaje kwani?
Aslay unatumia account hii kumbe?Last week nilipita pale nikapata zangu Samaki na Mihogo swaaaafi kabisa. Hio ni baada ya kuona matangazo mbali mbali instagram kuhusu Aslay Mihogo
Vijana kuweni wabunifu, huyu anakuchanganyia Samaki na Mihogo hadi unajiramba ramba.
Basi aje mrembo mmoja PM kesho niende nae tena
Twende wote mkuuBasi ukienda kwa aslay wa mihogo jiandae kukutana nae bolo
Tuwekee picha ya ulichokulaLast week nilipita pale nikapata zangu Samaki na Mihogo swaaaafi kabisa. Hio ni baada ya kuona matangazo mbali mbali instagram kuhusu Aslay Mihogo
Vijana kuweni wabunifu, huyu anakuchanganyia Samaki na Mihogo hadi unajiramba ramba.
Basi aje mrembo mmoja PM kesho niende nae tena
Ingawa mie sio mlaji sana lkn katika chakula nnachoweza kula sn ni mihogo. Yaani hadi leo mchana pia nimekula huohuo. Ila baadae inanitesa kwa gesi lkn sikomiHata nyumbani sili mihogo na samaki.
Samaki anaenda na chips, wali, ugali au ndizi. Kwanza huwa nawashangaa watu wanawezaje kula mihogo sahani nzima tena wengine kwa pilipili tu wakati mimi hata vipande viwili kumaliza ni shida.
umenikumbusha Pwani nimekula sana hivi, hasa hasa kile kipindi cha mfungoIngawa mie sio mlaji sana lkn katika chakula nnachoweza kula sn ni mihogo. Yaani hadi leo mchana pia nimekula huohuo. Ila baadae inanitesa kwa gesi lkn sikomi
My favourite muhogo wa nazi kwa nyama ya jembe πView attachment 3159762