Nampongeza sana Aslay Mihogo, vijana kuweni wabunifu

Nampongeza sana Aslay Mihogo, vijana kuweni wabunifu

Last week nilipita pale nikapata zangu Samaki na Mihogo swaaaafi kabisa. Hio ni baada ya kuona matangazo mbali mbali instagram kuhusu Aslay Mihogo

Vijana kuweni wabunifu, huyu anakuchanganyia Samaki na Mihogo hadi unajiramba ramba.

Basi aje mrembo mmoja PM kesho niende nae tena
Nipeleke
Au mashangazi hawaruhusiwi
Weka vigezi tujae kwenye mfumo
 
Last week nilipita pale nikapata zangu Samaki na Mihogo swaaaafi kabisa. Hio ni baada ya kuona matangazo mbali mbali instagram kuhusu Aslay Mihogo

Vijana kuweni wabunifu, huyu anakuchanganyia Samaki na Mihogo hadi unajiramba ramba.

Basi aje mrembo mmoja PM kesho niende nae tena
Ubunifu uko wapi hapo??
Mimi hunilishi Samaki na mihogo.
 
Mara nyingi hua naenda kula mihogo na Samaki hapo Coco huku nikiburudishwa na nyimbo za wale vijana, siku hiyo nikasema nikapaangalie hapo kwa Aslay Mihogo, dogo amejua kujibrand ila hakuna tofauti yoyote na wafanyabiashara wenzake wa hapo Coco
 

Attachments

  • Snapchat-1267313633.jpg
    Snapchat-1267313633.jpg
    309.7 KB · Views: 8
Back
Top Bottom