Llio 002
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,636
- 2,053
Akishindwa kukupeleka nishtuwe hata mm nitakuwa na muda kwa ajili yakoJibu pm bro..... Tukale mihogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akishindwa kukupeleka nishtuwe hata mm nitakuwa na muda kwa ajili yakoJibu pm bro..... Tukale mihogo
Ww unazijua akili za Evelyn Salt ? hata PM hajatuma.Akishindwa kukupeleka nishtuwe hata mm nitakuwa na muda kwa ajili yako
NipelekeLast week nilipita pale nikapata zangu Samaki na Mihogo swaaaafi kabisa. Hio ni baada ya kuona matangazo mbali mbali instagram kuhusu Aslay Mihogo
Vijana kuweni wabunifu, huyu anakuchanganyia Samaki na Mihogo hadi unajiramba ramba.
Basi aje mrembo mmoja PM kesho niende nae tena
Kumbe ulishaenda hadi pm ahhahahJibu pm bro..... Tukale mihogo
Nataka mihogoKumbe ulishaenda hadi pm ahhahah
Ubunifu uko wapi hapo??Last week nilipita pale nikapata zangu Samaki na Mihogo swaaaafi kabisa. Hio ni baada ya kuona matangazo mbali mbali instagram kuhusu Aslay Mihogo
Vijana kuweni wabunifu, huyu anakuchanganyia Samaki na Mihogo hadi unajiramba ramba.
Basi aje mrembo mmoja PM kesho niende nae tena
Hahhah mhogo tuNataka mihogo
Hao samaki wake huwa wanatamanisha na wako kila mahali huko instagramWewe nakupeleka huku tunakula mihogo ya aslay na upepo kwa mbaaali hapohapo tunaongea kuhusu biashara
Watu mna siri kumbe kuna mihogo na magoli hukoUtastahimili goli ww? Ahahahaaa
Nataka mihogo tu bro..... 😹Hahhah mhogo tu
Samaki je??
Oooh! Asante sana, nataka hiyo chakula hawafikishi nitakapokuwepo?Hapo uswahilini tu nilienda weeknd moja mpaka kwakukaa panakosekana kabisa af watu ni kukupiga picha bila ridhaa mwisho wanakudai pesa ya picha kwakweli sikupapenda
Unapewa na demu?Samaki mkubwa kidogo 25,000. Mkubwa zaidi 30,000
Uko wapi kwanza ,kabla hujaenda piemu?Jibu pm bro..... Tukale mihogo
Ntakupigiaaaa naogaaa nna povu usoni sioni buttonUko wapi kwanza ,kabla hujaenda piemu?