Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Teh teh BAK umechafukwa[emoji28]Nonsense! I am talking about how successful she’s on running those biz and you just want to prove ujinga wako kwamba she is zero brain.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh BAK umechafukwa[emoji28]Nonsense! I am talking about how successful she’s on running those biz and you just want to prove ujinga wako kwamba she is zero brain.
NdiyoNje ya mada! Mkuu username yako ina uhusiano wowote na tabia yako? [emoji119]
BAK Hiv mzee unamjua vizuri don ivan?Huyo zari una muoverrate tu hata kupika ajui alafu Ni muafrica? Anerlisa pamoja na kuwa ana mkwanja mrefu lakini anajua kupika.Hiv ujiulizi kwanini Zari hadate na wanaume wenye vipato vya kawaida?
Nonsense! I am talking about how successful she’s on running those biz and you just want to prove ujinga wako kwamba she is zero brain.
Z
Who told you she is a zero brain ??...
by the way thanks for giving a fool like me a "privilledge" to have a conversation with a "smart " person like you..
stay blessed brother
Teh teh BAK umechafukwa[emoji28]
😂😂😂😂😂 kuna baadhi ya Watanzania wanadhani wanamfahamu huyu binti nje ndani. Na kwao wao wanaamini hajui lolote zaidi ya kuwatega wanaume wenye noti. Huyu binti kwenye biashara yuko very smart sana ni basi tu watu hawamfamu kiasi hicho.
Zari Ni mdangaji na amepatia maisha Ni kwasababu anadate na wanaume wenye pesa na kumbuka pia sasa hiv kashachukua Mali za mumewe ivan na siku Diamond akifa mama dangote asipo kuwa makini atajikuta hata nusu ya Mali za mwanae apati ila wanawake ambao Ni fighter na wasiotegemea wanaume na wamefanikiwa sana mfano mzuri madam Rita na yule demu wa Ben pol mkenya.
Dinazarde Khantwe
That's why she is my role model. Anajielewa sana na uzuri huwa hakubali kutawaliwa na team yake wala mtu baki kimaamuzi.
Mbona me naona we ndo unamuhabudu kiba.Yan kumsifu na kumuabudu diamond kote huko bado unakomaa na dala dala!?
Tafuta hela kijana..
Mafanikio ni nini?BAK tusidanganyane Zari hana Mafanikio hayo Ni kwasababu ana date na watu wenye pesa na uwezi kumsifia kiasi hicho imagine kuchukua karibuni nusu na robo ya Mali ya ivan na ivani kabla ajafa alitengeneza msingi mzuri wa biashara zake Ni Kama alivyofanya Reginald Mengi hapa Tanzania na pia mamadangote asipokuwa makini ikitukea Diamond akafariki anaweza kujikuta hata nusu ya Mali za mwanae Diamond apati ila wapo wanawake wamefanikiwa bila hata kutegemea jasho la mwanaume mfano mzuri Ni demu wa Ben pol yule mkenya ana mpunga wa maana alafu alingi na pia na muona ana impact kwenye Jamii anasaidia Sana watu huyu ndo ulitakiwa umsifie sana sio Zari
Dinazarde Khantwe
@MrsVan najua unampenda Sana Zari umefika hatua ya kumtetea hata sehemu asiyo stahili Zari sio roll model eti kwa wanawake wanaofight for own ability bila ya mkono wa mwanaume labda uwe roll model wake kwenye kulea hapo sawa kwenye hiyo sector yupo vizuri ila sio kwenye maisha yake kwa ujumla.Mafanikio ni nini?
Eti kuwamanulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] yaan nyieHaya bwana mzee Zari hajui chochote duniani zaidi ya kuwamanulia (excuse my language) wenye noti ili wafaidi utamu wake.
Binti??[emoji849][emoji849][emoji849]THANK YOU [emoji1431] Madam Numbisa. Watu wanamdharau sana huyu binti kwamba hajui lolote zaidi ya kuwanasa wenye noti. Ana mchango mkubwa sana wa kuongeza mafanikio kwa aliowahi kuwa nao ila wengi hawalioni hilo wanadhani alinyoosha miguu tu na kusubiri aletewe.
Binti??[emoji849][emoji849][emoji849]
BAK unajua kujitoa ufahamu[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]