Nampongeza Zari The Boss kwenye hili

Nampongeza Zari The Boss kwenye hili

Huyo mwanamke angekuwa mzuri kama mke wangu, angekuwa na pesa kama...., angekuwa na elimu kama..., nadhani angetamba sana.

NB:Asiseme watanzania anakuwa ameattack kundi kubwa sana,watz wengene hatuna ata shobo na life lake, afu ajue kabisa hapa tz, kuna watu wana maisha mazuri, warembo, pesa chafu, na watoto wazuri pengine kuliko hata hao wake, ila basi tu hawakuwahi taka kuruka mbele ya camera na hiyo mitandao ambayo mwishowe hata yeye ameshindwa kuihimili.

Waambie wakuelewe
 
Hii tabia wanayo wasomkubali Ali Kiba.
 
Huyo mwanamke angekuwa mzuri kama mke wangu, angekuwa na pesa kama...., angekuwa na elimu kama..., nadhani angetamba sana.

NB:Asiseme watanzania anakuwa ameattack kundi kubwa sana,watz wengene hatuna ata shobo na life lake, afu ajue kabisa hapa tz, kuna watu wana maisha mazuri, warembo, pesa chafu, na watoto wazuri pengine kuliko hata hao wake, ila basi tu hawakuwahi taka kuruka mbele ya camera na hiyo mitandao ambayo mwishowe hata yeye ameshindwa kuihimili.

Mnajidanganyaga tuu, tukubali tukatae zari ni next level , kama ni lyfe kalipatia, kama ni shule anayo kichwani ,.....mabinti wa level zake kiuhalisia unawatafuta Kwa tochi ......angalau hata demu wa Ben Paul anaweza akamtoa nockout
 
Warudiane tu walikuwa wanapendeza sana kama couple. Na DP hatapata mwanamke mzuri na mwenye akili ya maisha kama Zari. Pia itakuwa ni vizuri kurudiana kwa ajili ya watoto wao.

Zari ana akili gani ya maisha !!..
Yupo vizuri kwenye kuchagua wanaume wa kumfikisha mbali tu ila ukijiuliza baada ya Ivan na Kwa umaarufu alioupata kwa Diamond, kuna kitu gani katengeneza ukitoa event yake ya Zari All white party ??.... NOTHING

This old woman is a way too overrated in Tz haswa kwa waliomjua kwa Diamond na sishangai kwa nini waganda wanamkubali zaidi Juliana Kanyomozi maana the lady amehenya kupata fame yake plus yupo classy na intelligent pia.
 
Baada ya kusikia tetesi za Yeye kurudiana na Diamond Mmeanza kujipendekeza kwa kumsifia na kujikombakomba, siku hizi Mmepunguza kumtukana?

Misukule ya chibunye mnaangaika sana

Zabibu kiba tulia wewee,mbona unahorojoka hivyo,wenzako wakitaka kurudiana wewe inakuuma nini,unataka urudiwe wewe nini?
 
Angekuwa hana akili ya maisha asingekuwa hapo alipo asingeweza kusimamia biashara alizoachiwa na hata waajiriwa wamsifie kwa performance yake tangu aliposhika usukani wa biashara husika.

Zari ana akili gani ya maisha !!..
Yupo vizuri kwenye kuchagua wanaume wa kumfikisha mbali tu ila ukijiuliza baada ya Ivan na Kwa umaarufu alioupata kwa Diamond, kuna kitu gani katengeneza ukitoa event yake ya Zari All white party ??.... NOTHING

This old woman is a way too overrated in Tz haswa kwa waliomjua kwa Diamond na sishangai kwa nini waganda wanamkubali zaidi Juliana Kanyomozi maana the lady amehenya kupata fame yake plus yupo classy na intelligent pia.
 
Mnajidanganyaga tuu, tukubali tukatae zari ni next level , kama ni lyfe kalipatia, kama ni shule anayo kichwani ,.....mabinti wa level zake kiuhalisia unawatafuta Kwa tochi ......angalau hata demu wa Ben Paul anaweza akamtoa nockout

Zari kasoma nini [emoji23][emoji23][emoji23] diploma ya mambo ya urembo au nini?
 
Angekuwa hana akili ya maisha asingekuwa hapo alipo asingeweza kusimamia biashara alizoachiwa na hata waajiriwa wamsifie kwa performance yake tangu aliposhika usukani wa biashara husika.

Ni kweli hata cleopatra alisema "if you want anything in life as a woman, find a right man to get it for you", kama sio smart huwezi kufanya hilo mbaya zaidi at 30's kama Zari. Nakubali mkuu
 
Nonsense! I am talking about how successful she’s on running those biz and you just want to prove ujinga wako kwamba she is zero brain.

Ni kweli hata cleopatra alisema "if you want anything in life as a woman, find a right man to get it for you", kama sio smart huwezi kufanya hilo mbaya zaidi at 30's kama Zari. Nakubali mkuu
 
Mnajidanganyaga tuu, tukubali tukatae zari ni next level , kama ni lyfe kalipatia, kama ni shule anayo kichwani ,.....mabinti wa level zake kiuhalisia unawatafuta Kwa tochi ......angalau hata demu wa Ben Paul anaweza akamtoa nockout
Zari Ni mdangaji na amepatia maisha Ni kwasababu anadate na wanaume wenye pesa na kumbuka pia sasa hiv kashachukua Mali za mumewe ivan na siku Diamond akifa mama dangote asipo kuwa makini atajikuta hata nusu ya Mali za mwanae apati ila wanawake ambao Ni fighter na wasiotegemea wanaume na wamefanikiwa sana mfano mzuri madam Rita na yule demu wa Ben pol mkenya.
Dinazarde Khantwe
 
Nonsense! I am talking about how successful she’s on running those biz and you just want to prove ujinga wako kwamba she is zero brain.
BAK tusidanganyane Zari hana Mafanikio hayo Ni kwasababu ana date na watu wenye pesa na uwezi kumsifia kiasi hicho imagine kuchukua karibuni nusu na robo ya Mali ya ivan na ivani kabla ajafa alitengeneza msingi mzuri wa biashara zake Ni Kama alivyofanya Reginald Mengi hapa Tanzania na pia mamadangote asipokuwa makini ikitukea Diamond akafariki anaweza kujikuta hata nusu ya Mali za mwanae Diamond apati ila wapo wanawake wamefanikiwa bila hata kutegemea jasho la mwanaume mfano mzuri Ni demu wa Ben pol yule mkenya ana mpunga wa maana alafu alingi na pia na muona ana impact kwenye Jamii anasaidia Sana watu huyu ndo ulitakiwa umsifie sana sio Zari
Dinazarde Khantwe
 
Wakati anadate na huyo Ivan, Ivan alikuwa na Mali kiasi gani? Unajua mchango wa Zari kwenye kuongeza utajiri wakati wakiwa pamoja? Au unadhani alikuwa ni mke tu wa kukaa nyumbani na kumuachia hustles zote Ivan?

BAK tusidanganyane Zari hana Mafanikio hayo Ni kwasababu ana date na watu wenye pesa na uwezi kumsifia kiasi hicho imagine kuchukua karibuni nusu na robo ya Mali ya ivan na ivani kabla ajafa alitengeneza msingi mzuri wa biashara zake Ni Kama alivyofanya Reginald Mengi hapa Tanzania na pia mamadangote asipokuwa makini ikitukea Diamond akafariki anaweza kujikuta hata nusu ya Mali za mwanae Diamond apati ila wapo wanawake wamefanikiwa bila hata kutegemea jasho la mwanaume mfano mzuri Ni demu wa Ben pol yule mkenya ana mpunga wa maana alafu alingi na pia na muona ana impact kwenye Jamii anasaidia Sana watu huyu ndo ulitakiwa umsifie sana sio Zari
Dinazarde Khantwe
 
  • Thanks
Reactions: amu
Wakati anadate na huyo Ivan, Ivan alikuwa na Mali kiasi gani? Unajua mchango wa Zari kwenye kuongeza utajiri wakati wakiwa pamoja? Au unadhani alikuwa ni mke tu wa kukaa nyumbani na kumuachia hustles zote Ivan?
BAK Hiv mzee unamjua vizuri don ivan?Huyo zari una muoverrate tu hata kupika ajui alafu Ni muafrica? Anerlisa pamoja na kuwa ana mkwanja mrefu lakini anajua kupika.Hiv ujiulizi kwanini Zari hadate na wanaume wenye vipato vya kawaida?
 
Yan kumsifu na kumuabudu diamond kote huko bado unakomaa na dala dala!?
Tafuta hela kijana..
 
Back
Top Bottom