Nampongeza Zari The Boss kwenye hili

🤣🤣🤣🤣🤣 Kuna baadhi ya watu WANAMZEREU Zari sana tu kwamba hajui lolote duniani yupo yupo tu kuvizia ME wenye pochi akanyooshe miguu huku anakula kuku kwa mrija.

Eti kuwamanulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28] yaan nyie
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upo sahihi sana
Tubadilike
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna baadhi ya watu WANAMZEREU Zari sana tu kwamba hajui lolote duniani yupo yupo tu kuvizia ME wenye pochi akanyooshe miguu huku anakula kuku kwa mrija.
ha ha ha

Angekuwa sio smart, hata Leo tusingemsikia

Yuko vizuri upstairs, sema dharau ndo ujinga wake ulipolala hapo
 
Reactions: BAK
Hivi nikisema huna akili nitakua nimekuonea? Mbona hujajibu swali umekimbilia kashfa. Swali lingine, 'roll model' maana yake nini?
 
Mnajidanganyaga tuu, tukubali tukatae zari ni next level , kama ni lyfe kalipatia, kama ni shule anayo kichwani ,.....mabinti wa level zake kiuhalisia unawatafuta Kwa tochi ......angalau hata demu wa Ben Paul anaweza akamtoa nockout
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…