chimei may
Member
- Feb 14, 2022
- 81
- 93
huhuhuuuuu nahis mdogo wako bora yupo wa kwetu ni shidaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfundishe kwa maongezi na vitendo pia,na kwskuwa ni mdogo bado atakuelewaHello members!!!
Ni mdogo wangu wa mwisho wa kiume miaka 17+ Nashindwa kuelewa ni malezi au nini. Ila mbona sie wengine ndugu zake hatuko hivyo.
Naanza kuhofia asije kuona namnyanyasa.
Yaani unaweza kurudi home unakuta kakaa na mavyombo machafu hana habari. Vitu viko hovyo, kupangilia kila kitu kiwe pahala pake, mfano amekula mavyombo kaacha hapo. Kupika anajua ila usafi wa pale anakopikia ni hadi umkumbushe wee naniii embu safisha safisha kidogo hapo sehemu ya kupikia.
Hapo nje anaingia na kutoka ndani, unarudi unakuta mamchanga yamejaa, kabla sijaingia ndani nafanya kuyafagia kidogo mazingira ya nje. Unaweza kuta kitanda hakijatandikwa na yupo tu kashinda nyumbani sijui ni uvivu au ndio uchafu wenyewe. Siku narudi naingia chumbani nakuta kitanda kiko vururuvururu alivyoamka ndivyo hvyo hivyo,(kidogo nimzabe makofi) hapa alijirekebisha. Mbaya zaidi kila siku namsema. Sio kwamba me ni msafi saaana ila kiukweli me angalau.
Kuhusu usafi wake binafsi hana shida sana.
Nashindwa kuelewa kimalezi mzee alifariki akiwa bado mdogo kama 2-3yrs hivi. Alilelewa zaidi na mama pekee. Nawaza labda malezi ya mzazi mmoja ndio sababu.
Sasa naanza kuona huyu dogo labda anaona tu broo wake nina nongwa.[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kawaida hiyo
Mwanaume anatakiwa kuwa hivyo
Waoaji ndio wanavyokuwa,dogo atakuja kuoa mapema sana
Usiogope
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hilo limenirithi mimi babu yake. Mimi hata neti naonaga uvivu kupandisha... nachomoka na kuingia kama panya dadeki
Olewa nae wewe [emoji23][emoji23][emoji23]Kawaida hiyo
Mwanaume anatakiwa kuwa hivyo
Waoaji ndio wanavyokuwa,dogo atakuja kuoa mapema sana
Usiogope
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa yangu mpaka alishindwana na manzi wake.
Imagine mrembo anampigia nguo pasi, jamaa linaona haitoshi linapasi upya tena mbele yake.
Mzabue na wewe uhame home uoleweMbona kwa ulivyoelezea sio too much
Manake mie pia nina mdogo wa kiume umri 17+ yeye ni mvivu hadi akitafuna big G anaona uvivu kuitupa nje anabandika ukutani
Kutokuwa smart si kawaida na siyo sifa na si kigezo au kisababishi cha kuoa mapema, kuna sababu mbalimbali zinazomsukuma mtu kuoa mapema mbali na hiyo uliyoianisha, maisha hayana kanuni maalum.Kawaida hiyo
Mwanaume anatakiwa kuwa hivyo
Waoaji ndio wanavyokuwa,dogo atakuja kuoa mapema sana
Usiogope
Ukisoma mada vizuri mwanzoni kabisa mleta mada amesema ni mdogo wake wa kiume.Huyo mdogo wako Ni ME au KE??
Ameedit mwanzo hakuandika hivyUkisoma mada vizuri mwanzoni kabisa mleta mada amesema ni mdogo wake wa kiume.