Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Hope mpo salama,
Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano.
Mwanamke huyu ananishangaza saana,
Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha.
Kilichofuata ni kutumia gharama zake kwangu, anajitoa saana ikiwa mimi sijitoi kihivyo, kiasi ya kwamba namuonea huruma saana kumwambia tuachane, japo ashakutana na condoms na wapambe washamwambia nna mwanamke mwingine akawajibu hana mda wakunifuatilia wala kujua chochote maana anaweza kuua mtu.
Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.
Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano.
Mwanamke huyu ananishangaza saana,
Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha.
Kilichofuata ni kutumia gharama zake kwangu, anajitoa saana ikiwa mimi sijitoi kihivyo, kiasi ya kwamba namuonea huruma saana kumwambia tuachane, japo ashakutana na condoms na wapambe washamwambia nna mwanamke mwingine akawajibu hana mda wakunifuatilia wala kujua chochote maana anaweza kuua mtu.
Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.
Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu