Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
- #121
Afi mtu wewe maana nilishampanga mapema kwangu no future mi ni chui niliyejeruhiwaAtakuua kweli...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afi mtu wewe maana nilishampanga mapema kwangu no future mi ni chui niliyejeruhiwaAtakuua kweli...
Ka uko siriazi anza kunicheki nikupe namba zake ukifanikiwa na pesa juu nakupa maana washkaji zangu niliwapa kazi wakafeliNitumie namba yake PM nimkanye aache kukung'ang'ania
Ila wana maajabu mzee watamu kinomaKuna baadhi ya sisi wanaume tuna taftaga tu kulogwa pasipo sababu ...... unanzaje kumla demu mfupi halafu chibonge? Unataka kugundua nni .......
Nicheki pm nikupe mzigoNipasie namba zake Mkuu,,kama hutojali!!
Ushawahi kupendwa kindaki ndaki na mwanamke mkuu?Kama haumpendi mtu hakuna haja ya kupokea vitu vyake , hii itamuumiza sana baadae akijua ulikua haupendi ila vyake ulichukia , bora umwambie mapema kuwa hauvutiwi nae na hauna malengo nae , ili yeye afanye maamuzi , kubaki kwako ama kusonga mbele , hakuna kitu kizuri kama kuwa muwazi kwenye mahusiano .