Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mgeni huku basi ngoja ni take a note mzeeHapo shida ni ufupi na ukibonge,sasa wakati unamtongoza hukuyaona hayo?
Kama ulitaka kupiga tu,wenzako huwa hatusave hata namba..na unahakikisha ukimla unamlipa baada ya hapo hutamfuti tena,mwenyewe atajiongeza.
Nsharogwa maeneo yote mzeeJiandae kurogwa...
kwahyio kilicho kupeleka kwake ni kipi kama ni hivyoHope mpo salama,
Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano.
Mwanamke huyu ananishangaza saana,
Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha.
Kilichofuata ni kutumia gharama zake kwangu, anajitoa saana ikiwa mimi sijitoi kihivyo, kiasi ya kwamba namuonea huruma saana kumwambia tuachane, japo ashakutana na condoms na wapambe washamwambia nna mwanamke mwingine akawajibu hana mda wakunifuatilia wala kujua chochote maana anaweza kuua mtu.
Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.
Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
Ushauri tu😃Wewe toa ushauri mengine piga chini
Ulimtongozaje usiyempenda?Hope mpo salama,
Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano.
Mwanamke huyu ananishangaza saana,
Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha.
Kilichofuata ni kutumia gharama zake kwangu, anajitoa saana ikiwa mimi sijitoi kihivyo, kiasi ya kwamba namuonea huruma saana kumwambia tuachane, japo ashakutana na condoms na wapambe washamwambia nna mwanamke mwingine akawajibu hana mda wakunifuatilia wala kujua chochote maana anaweza kuua mtu.
Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.
Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
Nitumie namba yake PM nimkanye aache kukung'ang'aniaHope mpo salama,
Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano.
Mwanamke huyu ananishangaza saana,
Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha.
Kilichofuata ni kutumia gharama zake kwangu, anajitoa saana ikiwa mimi sijitoi kihivyo, kiasi ya kwamba namuonea huruma saana kumwambia tuachane, japo ashakutana na condoms na wapambe washamwambia nna mwanamke mwingine akawajibu hana mda wakunifuatilia wala kujua chochote maana anaweza kuua mtu.
Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.
Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
Eb ...kwanza fafanua ngono za kivita zipo vipiHope mpo salama,
Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano.
Mwanamke huyu ananishangaza saana,
Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha.
Kilichofuata ni kutumia gharama zake kwangu, anajitoa saana ikiwa mimi sijitoi kihivyo, kiasi ya kwamba namuonea huruma saana kumwambia tuachane, japo ashakutana na condoms na wapambe washamwambia nna mwanamke mwingine akawajibu hana mda wakunifuatilia wala kujua chochote maana anaweza kuua mtu.
Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.
Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
Ngono za kivita!!Kiaje hio mkuu[emoji3525]Hope mpo salama,
Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano.
Mwanamke huyu ananishangaza saana,
Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha.
Kilichofuata ni kutumia gharama zake kwangu, anajitoa saana ikiwa mimi sijitoi kihivyo, kiasi ya kwamba namuonea huruma saana kumwambia tuachane, japo ashakutana na condoms na wapambe washamwambia nna mwanamke mwingine akawajibu hana mda wakunifuatilia wala kujua chochote maana anaweza kuua mtu.
Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.
Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
Nilikua namtania tuu akafanya kwelikwahyio kilicho kupeleka kwake ni kipi kama ni hivyo
Kwa taarifa yako nshaumizwa saana hapa na mi narudisha kisasi na nnawaumiza kinyama huyu ka wa8 iviBaada ya kumchoka ndo umeona mweusi na mfupi,ulaaniwe
Kipimo unachompimia mwenzio ndicho utachopimiwa,subiri utakutana na kiboko yako
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Nipo dasalama na nnao ka sita hivi wote wananihonga na kunibembeleza nisiwaacheAre you coming from Dasalam kinondoni...?
Imeandikwa mwanaume aoe wanawake awapendao wawili,watatu adi wanne ila akiohofia kutofanya uhadilifu basi aoe mmoja...
Nikwambie mwanangu bora upambanie kupenda kuliko kupendwa na mtu usiye mpenda ni kero balaaUkipendwa penda utaja kupenda pasipo kupendwa.