Namshangaa huyu mwanamke wangu

Namshangaa huyu mwanamke wangu

Uwache tabia za kujilingishia cheo cha mzazi wako kutongoza mademu.

Hayo ni matokeo yake.
 
Hope mpo salama,

Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano.

Mwanamke huyu ananishangaza saana,

Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha.

Kilichofuata ni kutumia gharama zake kwangu, anajitoa saana ikiwa mimi sijitoi kihivyo, kiasi ya kwamba namuonea huruma saana kumwambia tuachane, japo ashakutana na condoms na wapambe washamwambia nna mwanamke mwingine akawajibu hana mda wakunifuatilia wala kujua chochote maana anaweza kuua mtu.

Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.

Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
Mweee aisee anatia huruma.
 
......Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.

Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
serikali iendelee kukataza matumizi ya ndumu.
 
Hope mpo salama,

Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano.

Mwanamke huyu ananishangaza saana,

Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha.

Kilichofuata ni kutumia gharama zake kwangu, anajitoa saana ikiwa mimi sijitoi kihivyo, kiasi ya kwamba namuonea huruma saana kumwambia tuachane, japo ashakutana na condoms na wapambe washamwambia nna mwanamke mwingine akawajibu hana mda wakunifuatilia wala kujua chochote maana anaweza kuua mtu.

Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.

Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
NGONO ZA KIVITA NDIO ZIPI?
 
Wanaume ndivyo mlivyo,baada ya kumtumia mwanamke unaanza kumuona taka taka na kumsemea madhaifu yake.

Kama ulijua kwamba huna mpango naye kwani ulienda kumtongoza,huoni Kama umeblackmail hisia zake na kumpotezea muda?
Hivi kwani unapopewa zawadi ndani ya box utajuakua kuna nini ndani bila kufungua?!
 
Back
Top Bottom