Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Utakubali tu show yake .Hii ni hatari mzee maana wanawake wa hiz mambo najua hamnaga aiseeh
Hama mtaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakubali tu show yake .Hii ni hatari mzee maana wanawake wa hiz mambo najua hamnaga aiseeh
Nadhani ilo ndo lilobakiUtakubali tu show yake .
Hama mtaa.
Ukichelewa atakupigaNadhani ilo ndo lilobaki
Mweee aisee anatia huruma.Hope mpo salama,
Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano.
Mwanamke huyu ananishangaza saana,
Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha.
Kilichofuata ni kutumia gharama zake kwangu, anajitoa saana ikiwa mimi sijitoi kihivyo, kiasi ya kwamba namuonea huruma saana kumwambia tuachane, japo ashakutana na condoms na wapambe washamwambia nna mwanamke mwingine akawajibu hana mda wakunifuatilia wala kujua chochote maana anaweza kuua mtu.
Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.
Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
Hakuna MKurya MfupiMkurya hio ni code nimekufungulia[emoji116]
😇 Hao ni Mods ndiyo wanaofanya hivyo wakati fulani. Mimi kama mimi, identity yangu itabakia kuwa hii hii ya mwandiko wa kiume wa kulalia kulia.Home Boy umebadili mtindo wako wa kuandika
Rudi asili yako home Boy
serikali iendelee kukataza matumizi ya ndumu.......Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.
Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
Nzuri hiyo home boy[emoji56] Hao ni Mods ndiyo wanaofanya hivyo wakati fulani. Mimi kama mimi, identity yangu itabakia kuwa hii hii ya mwandiko wa kiume wa kulalia kulia.
NGONO ZA KIVITA NDIO ZIPI?Hope mpo salama,
Niende straight kuhusu mwanamke ambaye niko naye kimahusiano.
Mwanamke huyu ananishangaza saana,
Kwanza nilishamwambia mimi sina mpango wa kumuoa wa kuoa karibuni coz siamini wanawake hivo ka ataona namchelewesha acheki na mtu mwingine, akasema sawa ila hawezi niacha.
Kilichofuata ni kutumia gharama zake kwangu, anajitoa saana ikiwa mimi sijitoi kihivyo, kiasi ya kwamba namuonea huruma saana kumwambia tuachane, japo ashakutana na condoms na wapambe washamwambia nna mwanamke mwingine akawajibu hana mda wakunifuatilia wala kujua chochote maana anaweza kuua mtu.
Kifupi simpendi ki ndoa kutokana na kabila lake na kupenda kwake ngono za kivita. Mfupi na chibonge.
Sasa sijui anampango gani na mimi namshangaa saana nisaidieni ndugu zangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngono za Kivita ndo zipi hizo mkuu
Hivi kwani unapopewa zawadi ndani ya box utajuakua kuna nini ndani bila kufungua?!Wanaume ndivyo mlivyo,baada ya kumtumia mwanamke unaanza kumuona taka taka na kumsemea madhaifu yake.
Kama ulijua kwamba huna mpango naye kwani ulienda kumtongoza,huoni Kama umeblackmail hisia zake na kumpotezea muda?
[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe kwenye hii sekta bado sijayajua mengi kumbe kuna ngono za kivita.
kama n hivi sina dhambi mkuu 😂 😂 😂 😂 😂
Huna baya na mtoto wa mtu kabisa[emoji23][emoji23]kama n hivi sina dhambi mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
nalitolea wapi wakati ngono ya kivita siijui 😂 😂
Dah [emoji23][emoji23] nimetafakari hizo ngono za kivita sijapata jibu[emoji23][emoji23][emoji23]nalitolea wapi wakati ngono ya kivita siijui [emoji23] [emoji23]