Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Hii nchi ngumu sana hii 😂😂😂Anataka kukuoa.
Wew si uwezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi ngumu sana hii 😂😂😂Anataka kukuoa.
Wew si uwezi.
🤣🤣🤣🤣Umewashiriki hiyo kituHii nchi ngumu sana hii 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣☎️Hawezi pokeaAisee hebu leta no yake tumshtue mwamba aache kupoteza muda
Anapenda raugh sex kinyama, umkabe,umkunjekunje mara akurukie yaani hataki upoe we ukung'ute tuu mda wote hata ka unaumwaNgono za Kivita ndo zipi hizo mkuu
Wadada wa mjinisi wakuchukulia siriazi mzee tunapitaga tuuKwa nini ulimuonjesha?
Pia sitakiAnataka kukuoa.
Wew si huwezi.
Anapenda raugh sex kinyama, umkabe,umkunjekunje mara akurukie yaani hataki upoe we ukung'ute tuu mda wote hata ka unaumwaTufafanulie aisee ngono za kivita ni zipi?
Hii vita hapanaKaka safari umeianza vita havikimbiwi hakikisha umeoga mizizi yote🥸
Unajuaje ka ye ndo alinitongoza??Wanaume ndivyo mlivyo,baada ya kumtumia mwanamke unaanza kumuona taka taka na kumsemea madhaifu yake.
Kama ulijua kwamba huna mpango naye kwani ulienda kumtongoza,huoni Kama umeblackmail hisia zake na kumpotezea muda?
Hapana si mkuryia mzee ni ntu ya ntwaraMkurya hio ni code nimekufungulia👇
Wewe toa ushauri mengine piga chiniKaamua aje kumsema uku
Nilishamuweka wazi ila yeye kaamua njia ya kunihudumia pengine nitabadili mwelekeo sa kusa langu ni lipi??Kama haumpendi mtu hakuna haja ya kupokea vitu vyake , hii itamuumiza sana baadae akijua ulikua haupendi ila vyake ulichukia , bora umwambie mapema kuwa hauvutiwi nae na hauna malengo nae , ili yeye afanye maamuzi , kubaki kwako ama kusonga mbele , hakuna kitu kizuri kama kuwa muwazi kwenye mahusiano .
Hauna kosa mkuu ,ila shida yako hauna msimamo , mwanaume unatakiwa uwe na katiba yako mtu anaeshindwa kuifuata apite kushoto nje na katiba yako hakuna kufanya maamuzi.Nilishamuweka wazi ila yeye kaamua njia ya kunihudumia pengine nitabadili mwelekeo sa kusa langu ni lipi??
Nilishamwambia yeye ni Queen of mizangamuo ivo ntamtumia kwenye sekta hiyo anasema sawa lakini akaniambia anatamani angekua mke kabisaHauna kosa mkuu ,ila shida yako hauna msimamo , mwanaume unatakiwa uwe na katiba yako mtu anaeshindwa kuifuata apite kushoto nje na katiba yako hakuna kufanya maamuzi.
Home Boy umebadili mtindo wako wa kuandikaHuyo ndiyo chaguo lako sasa. Huko kwingine unahangaika tu. Kubali matokeo, ili maisha yaendelee.
Kwani ulipoanzisha mahusiano naye hukulifahamu kabila lake, hukumuona ni mfupi na kibonge?