Namshangaa sana mtu anayeishabikia CCM

haha ivi kwann mnajionaga kama nyie ndo mna akili kuliko watu wote nchi nzima
Hapana mkuu, ccm inaalibu vipaji vya taifa hili, MFANO ebu jiangalie kipaji Chako kilivyo shuka,

Yani majembe katika taifa tunawapoteza Sana pitia ccm , roho zinatuuma Sana Yani,
 
Hapana mkuu, ccm inaalibu vipaji vya taifa hili, MFANO ebu jiangalie kipaji Chako kilivyo shuka,

Yani majembe katika taifa tunawapoteza Sana pitia ccm , roho zinatuuma Sana Yani,

vipaji vipi sasa mkuu? unamaaanisha kutengeneza helicopter kwa engine ya pikipiki?
 
Ficha upumbavu wako. Mkiambiwa ukiwa ccm akili zinayeyuka mnabisha. Sasa Lema kuuza tshirt inakuhusu nini kama sio ujinga tu. Kwa nini usifocuss kwenye mambo yenye tija badala ya kutoa maneno kama ya wanawake wacheza vigodoro.

mbna povu sasa mkuu si alikua anuza tshirt kwel ama namsingizia?
 
Haa haa haa...

Mama D katika ubora - ubovu wake...

Umesema itakuwa kinafanyeje eti?.... Inachukua na kumwaga pwaaa..., au nimikosea miye..?
 
Haa haa haa...

Mama D katika ubora - ubovu wake...

Umesema itakuwa kinafanyeje eti?.... Inachukua na kumwaga pwaaa..., au nimikosea miye..?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Acha ujinga weweeeeeee
 
Msukuma org huna AKILI period
 
Wengine tunakipenda tuu chama chetu CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa watu washabikie chama gani ? Au unataka washabikie Magaidi chadema?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
@thetallest jitombashisho IDEGENDA Mathanzua Wakudadavuwa Kamanda Asiyechoka
 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…