Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wewe mwenyewe unaipenda CCMMuulize mwenyekiti mstaafu wa Bavicha Patrobas Katambi kama anaichukia CCM!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwenyewe unaipenda CCMMuulize mwenyekiti mstaafu wa Bavicha Patrobas Katambi kama anaichukia CCM!
Ni sawa na sisi kuiunga mkono CCM kwa kutupeleka "NEXT LEVEL" ya UTULIVU na AMANI YA NCHI kumwezesha MO DEWJI kuipeleka SSC hapo ilipo.....mimi simshabikii,namuunga mkono mambo makubwa anayoyafanya. Ameipeleka timu next level kwa muda mfupi. Leo hii Simba ni 12 ranking za CAF. Uliza wengine wapo nafasi ya ngapi
Yuko mheshimiwa mmoja mkubwa sana/mno hapo CHADEMA alimtapeli binamu yangu(fundi) fedha zake baada ya kumjengea jumba lake....Ukiwa tapeli lazima utaipenda CCM maana itakulinda
Kunywa maji ushushe pumzi kaka 🤣🤣Wengi wagonjwa wanaoishabikia,vinginevyo awe na masrahi yake tu kuushabikia mzoga huo. Halafu wengi wa wanaoishabikia wana mawazo mgando kwamba usipoishabikia ccm,basi wewe ni CHADEMA
Wapi alipokuambia yeye ni shabiki wa CHADEMA?. Maccm mengi akili zao wanahisi usipoishabikia huo uozo lazima uwe CHADEMANamshangaa sana mtu anayeshabikia GENGE LA CHADEMA
Inawezekana haijui vyema CHADEMA
#KaziIendelee
Kwanini asiende kushitaki?Yuko mheshimiwa mmoja mkubwa sana/mno hapo CHADEMA alimtapeli binamu yangu(fundi) fedha zake baada ya kumjengea jumba lake....
Jamaa ni "tapeli na mdhulumaji mno" ila akianza kuuongea uzalendo wa nchi unaweza kutoa machozi kwa kuona YANATOKA MOYONI.....
We acha tu 🤣🤣
CCM ni genge la matapeli tupuWapi alipokuambia yeye ni shabiki wa CHADEMA?. Maccm mengi akili zao wanahisi usipoishabikia huo uozo lazima uwe CHADEMA
Wewe ni mgeni humu ndani ?!!Wapi alipokuambia yeye ni shabiki wa CHADEMA?. Maccm mengi akili zao wanahisi usipoishabikia huo uozo lazima uwe CHADEMA
🤣🤣CCM ni genge la matapeli tupu
Hata Mandela alikimbia udhalimu🤣🤣
Kama wale matapeli waliojilipua KWA VISINGIZIO na kukimbilia ULAYA na AMERIKA wanakoendesha "michango kutokea huko".....
We jamaa mtambo kweli sio kidogo tena chenga kweli.Unaposema wananchi hawafaidi matunda ya uhuru isipokuwa viongozi na familia zao umesahau kuwa kabla ya uhuru wananchi haohao walikosa haya yafuatayo:
1)Kuishi baadhi ya maeneo ya nchi yao.....mfano kule KICHANGA CHUI(MASAKI YA LEO)...daraja la selander lilikuwa mpaka wao na watu weupe.
2)Wananchi haohao hawakuwa na ACCESS ya kupata huduma za afya....hospitali zilikuwa kwa ajili ya weupe tu....mpaka akajitokeza "TAJIRI MMOJA MZALENDO...tajiri huyu mwenye asili ya kihindi akafungua ZAHANATI kwa ajili ya wazawa pale ilipo STESHENI POSTA.....
Baadaye akaja ndugu SEWA HAJI na kuendelea kutoa nafasi ya kutibiwa wazawa......
Je hospitali ,vituo vya afya na zahanati zilizoko SASA ZINAFANANA na zilizokuwa kipindi cha AWAMU YA KWANZA?je hakuna hatua za MAENDELEO makubwa kufikia sasa ?!!
3)Mkoloni aliacha barabara moja tu.....mikoa haijaunganishwa?!! Si faida kwetu wananchi wa kawaida?!!!
4)Baba zetu walikula UNGA WA YANGA na kuvaa ndala ,je Leo hakuna mabadiliko?!!
5)Mkoloni hakuacha CHUO KIKUU hata kimoja....Uganda alikijenga.......je leo hatuna vyuo vikuu mpaka "vichochoroni"?!
Duh, nchi ingeingia jehanamu mkuu, tatizo hawa jamaa wanadhani uongozi ni sawa na kuita press kupika uongo na Uzushi! Kikwete kaanza siasa 70's, kaja kukamata urais 2005, Mkapa kaanza kuhenya na mwalimu miaka ya 60, kaulamba urais 1995, huyu mwigulu wanayemtukana siku hizi kaanza haya mambo ya kugombea uongozi kuanzia primary school! Uongozi siyo rahisi, huyo DJ wao familia yake tu imemshinda kuiongoza..🤣🤣
Umenikumbusha kipindi cha uchaguzi kuna DOGO mmoja wa UDSM aliniambia wakishinda uchaguzi basi Lema atakuwa waziri wa fedha....Mnyika waziri wa Sheria.....🤣🤣🤣
Unamfananisha Baba wa Afrika na vibaka wa siasaHata Mandela alikimbia udhalimu
Hata Mandela aliitwa majina ya kipumbavu kama hayaUnamfananisha Baba wa Afrika na vibaka wa siasa
🤣🤣Hakika mkuu....wanadhani nchi inaweza KUENDESHWA kwa majaribio.....Duh, nchi ingeingia jehanamu mkuu, tatizo hawa jamaa wanadhani uongozi ni sawa na kuita press kupika uongo na Uzushi! Kikwete kaanza siasa 70's, kaja kukamata urais 2005, Mkapa kaanza kuhenya na mwalimu miaka ya 60, kaulamba urais 1995, huyu mwigulu wanayemtukana siku hizi kaanza haya mambo ya kugombea uongozi kuanzia primary school! Uongozi siyo rahisi, huyo DJ wao familia yake tu imemshinda kuiongoza..
Mandela alikuwa anadai UHURU WA NCHI...ni sawa na yule jambazi mzoefu wa magari?!!🤣Hata Mandela alikimbia udhalimu
😍Wakati mwingine kama binadamu tunaamini 'our path is the right path' lakini kumbuka your path is not the only path.....kuna mwingine anavyoshabikia CHADEMA ndo mwingine anavyoshabikia CCM na hata mwingine hamshabikii yeyote.
Acha kumfananisha Mandela na vitu vya kijinga jamaaHata Mandela aliitwa majina ya kipumbavu kama haya