Namshangaa sana mtu anayeishabikia CCM

Namshangaa sana mtu anayeishabikia CCM

Aliyekwambia hii nchi haitakuja kutwangana ni nani?.Tumechelewa tu kwa vile watu wameridhika kwasababu tuna bahati ya kua na chakula chakutosha.ila haki ndio msingi wa nchi kua pamoja na hilo likikosekana tegemea lolote.hayo mambo ya majimbo ni visingizio tu unaleta.
Lini vyakula vilikosekana nchi hii?!!

Kwa kuwa TREND ya kutokesekana chakula basi usitegemee watanzania watakuja kutwangana.....

Wananchi wa kawaida wanaanzishaje Vita baina yao ?!!!!

Huko Sudan Kusini hawatwangani wananchi wa kawaida bali majeshi ya makundi makubwa ya KIKABILA......
 
Mnawaibia kura kwa nguvu ya dola Kama mnajiamini mnapendwa Sana na watanzania na Kama mnajiamini mna clean sheets kwenye ustawi wa taifa hili viambieni vyombo vya dola vikae pembeni na kuwe na tume huru ya uchaguzi plus katiba mpya mkishinda hata kata moja kwa haki nchi nzima achiliambali udiwani na urais nyie vidume.
Hoja dhaifu sana hii Mungu akusamehe.
 
Zero brain. No wonder why CCM is loved by ignorant people. Kazi ya serikali ni nini sasa?
Kushughulikia Majority sio minority sehemu zote zenye population kubwa huduma za elimu,afya,barabara,umeme,maji etc zipo ndio maana CCM sehemu zenye Population kubwa hushinda kirahisi .Sababu Ni serikali ya walio wengi sio wachache Kama Chadema
 
Kujisahihisha? Give me a break. Wapi CCM imejisahihisha? Tuonyeshe matunda ya kujisahihisha. Au tuonyeshe nchi ilikuwaje kabla na baada ya ccm kujisahihisha.
Kama tayari Ubongo wako umeshaufanya ukichukie Chama cha CCM unadhani ukipewa ufafanuzi wa unachokiulizia utakuwa tayari Kukielewa na hata Kukikubali?
 
Kujisahihisha? Give me a break. Wapi CCM imejisahihisha? Tuonyeshe matunda ya kujisahihisha. Au tuonyeshe nchi ilikuwaje kabla na baada ya ccm kujisahihisha.
CCM imejisahihisha Sana.....mathalani ilikuja na msimamo wa KUJIVUA GAMBA....ulikuwa hujazaliwa?!!!

Baada ya KUJIVUA GAMBA na baadhi ya "wagunwa" kubainishwa.....WENGINE wakakimbilia CHADEMA....CHADEMA ambao ndio waliokuwa "wanatoa tuhuma dhidi ya hao waliovuliwa magamba".....la ajabu WAKAWASAFISHA KWA JIKI NA KUBADILISHA GIA ANGANI kwa kuwasimamisha kugombea URAIS.....Mbowe analijua hilo....
 
Hata mimi huwa nawashangaa sana mkuu. Na kibaya zaidi wengi wao ni watetezi hata wa udhalimu unaofanywa na baadhi ya viongozi wao.
Sio wakosoaji wao ni kutetea tu.
 
Kama tayari Ubongo wako umeshaufanya ukichukie Chama cha CCM unadhani ukipewa ufafanuzi wa unachokiulizia utakuwa tayari Kukielewa na hata Kukikubali?
Atakuwa yuko chuo huyo.....labda BUMU limekata.....watu aina hii baadaye wakipata KAZI hasa SERIKALINI na mshahara wenye kuridhisha wala hutomsikia akiongea hayo.....

Amejaa NEGATIVITIES tu.....
 
Ila kuishabikia CDM nayo inahitaji uzwazwa wa kiwango cha SGR! We fikiria think tank na viongozi wa juu wa chama ni DJ Mbowe, Sugu, Lema, Heche, Msigwa, Pambalu na Joyce Mukya
 
Ila kuishabikia CDM nayo inahitaji uzwazwa wa kiwango cha SGR! We fikiria think tank na viongozi wa juu wa chama ni DJ Mbowe, Sugu, Lema, Heche, Msigwa, Pambalu na Joyce Mukya
🤣🤣
Umenikumbusha kipindi cha uchaguzi kuna DOGO mmoja wa UDSM aliniambia wakishinda uchaguzi basi Lema atakuwa waziri wa fedha....Mnyika waziri wa Sheria.....🤣🤣🤣
 
CCM imejisahihisha Sana.....mathalani ilikuja na msimamo wa KUJIVUA GAMBA....ulikuwa hujazaliwa?!!!

Baada ya KUJIVUA GAMBA na baadhi ya "wagunwa" kubainishwa.....WENGINE wakakimbilia CHADEMA....CHADEMA ambao ndio waliokuwa "wanatoa tuhuma dhidi ya hao waliovuliwa magamba".....la ajabu WAKAWASAFISHA KWA JIKI NA KUBADILISHA GIA ANGANI kwa kuwasimamisha kugombea URAIS.....Mbowe analijua hilo....
Wewe jamaa bure sana. Dah! Sie tunahitaji vitu tangible sio maneno. Tuonyeshe kitu kinachoonekana sio maneno.
 
Ila wewe hutakiwi kupimwa akili kwa kumshabikia mno "bilionea Mo Dewji".... 🤣
mimi simshabikii,namuunga mkono mambo makubwa anayoyafanya. Ameipeleka timu next level kwa muda mfupi. Leo hii Simba ni 12 ranking za CAF. Uliza wengine wapo nafasi ya ngapi
 
Huwa najiuliza, hivi mtu kabisa na akili zako timamu unashabikia CCM? Binafsi nina amini wanaoshabikia CCM ni wale wenye maslahi binafsi otherwise uwe taahira. Chama kilichoisababishia nchi ufukara na matatizo lukuki unakishabikia kwa lipi?

At least JPM alipoingia tulianza kuona matokeo kiduchu ya kimaendeleo lakini bado hai-justify ufukara na matatizo lukuki yaliyosababishwa na hiki chama.

Wanawake, watoto wachanga kibao wamepoteza maisha kwa kukosa huduma bora za afya miaka nenda rudi. Huduma ya maji safi na salama vijijini na mijini bado shida, ajira kwa wahitimu hakuna, matatizo chungu nzima.

Jamani hebu nisaidieni labda kuna kitu sikielewi, hivi mnaoipenda CCM nnaipendea nini? Wale wenye maslahi binafsi kwenye chama kama watoto wa mawaziri, wabunge na wateule wa rais kwenye nyadhifa mbalimbali wana sababu ya kuipenda CCM, sasa hawa wengine raia wa kawaida naomba mnisaidie, CCM mnaipendea nini?

mama D johnthebaptist Magonjwa Mtambuka jingalao barafuyamoto YEHODAYA Stroke Kinuju MOTOCHINI Pulchra Animo
Ukiwa tapeli lazima utaipenda CCM maana itakulinda
 
Back
Top Bottom