likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
UPO SAHIHI KABISAHAYA NI MAONI YANGU WAKUU
KAMA NILIVYOSEMA AWALI, KIKWAZO CHA ASLAY NI MANAGEMENT MBOVU HVYO ATAFANYA KAZ NGUMU MAFANIKIO KIDUCHU.
Nyimbo za aslay karibu zote zinafanana!!Baada ya kundi la yamoto Band kuvunjika vipande vipande huku kila mmoja akionesha ufundi wa kuimba kivyake, ni wazi kuwa msanii kijana kabisa ASLAY ameonekana kumudu kuimba nyimbo nzuri bila kutegemea nguvu ya kundi.
Ni dhahiri kwamba Aslay anajua kuimba na kipaji kizuri cha Muziki.
Hata hvyo, wahenga walisema, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Kama aslay angekuwa na management nzuri basi angekuwa msanii hatari zaidi licha ya umri wake kuwa mdogo.
Namshauri Diamond platnumz amsajili huyu dogo ili kuendelea kuongeza ladha zaidi ya WCB ambayo itakuwa imekamilika kwa wachezaji wakali zaidi kwa sasa na baadaye.
kwenye kufanana kwa nyimbo zake hapo nakubali kwa asilimia 100 lakini nadhani ni tempo za instrumental anazoimbia.Eti akasaini lebo ya kiba....hahahaa kiba mwenyewe anahitaji msaada wa kusainiwa...
Afu aslay ana nyimbo za kufanana tatizo,daima ukiwa na kazi za aina moja ni rahisi kupotea
Diamond ni mfanyabiashara! Ingekuwa wa kuogopa upinzani asingethubutu kumchukua Mavoko!!!Kwani diamond mjinga akaribishe upinzani, kwanza watambana bana sana yani hutosikia tena akitoa ngoma kila siku
ni swala la mdaa tu kabla dogo ajampiku daimond, nadhani kilichokuwa kina mchelewesha dogo ni ile yamoto band .... daimond hana cha kumzidi aslay.Diamond ni mfanyabiashara! Ingekuwa wa kuogopa upinzani asingethubutu kumchukua Mavoko!!!
But all in all, haya mambo is more than kuwa na sauti mzuri au kuimba vizuri! Kwani ni nani mfuatiliaji wa muziki Tanzania asiemfahamu Aslay?! But still, ukimweka na Diamond Aslay anaonekana kama ni kichuguu mbele ya mlima ya Kilimanjaro kwa sababu, isn't all about ni namna gani unavyojua kuimba but your influence and power in the industry bila kusahau nyota kwa sie tunaoamini mambo ya Kiswahili!