Namshauri Jaji Mkuu ajiuzulu

Namshauri Jaji Mkuu ajiuzulu

Naunga mkono.
Sekta ya Mahakma na uhimili wake umekuwa kichekesho.
Nina ndugu Jaji Mhakama Kuu, wakati wa Mwendazake alikiri kuchoshwa kwa kuingiliwa kikazi na aitaka kustfu mpema.
 
Kinachofanyika mahakamani kwa miezi mitatu mfululizo ni ishara kwa muhimili wa mahakama kushindwa kutekeleza wajibu wake na kutekeleza maelekezo ya serikali.

Kwa kuwa mkuu wa muhimili wa mahakama ni yule yule aliyekuwepo wakati watu wanaonewa na kubambikiwa kesi na kwa kipindi chote hicho alikaa kimya, naomba busara imwelekeze Jaji Mkuu kuachia ngazi na kuruhusu usukaji upya wa muhimili wa mahakama unaoweza kusimamia haki.

Muhimili huu ukiendelea kusikiliza serikali inataka nini na kutekeleza dhana ya separation of power haitakuwa na maana nchini.

Mzee nikuombe utafakari Kama uliyowafanyia wananchi wa Tanzania kwa miaka mitano yanakushuhudia kuendelea kukalia hicho kiti. Najua ulisukumwa kuminya haki na ukatekeleza kinyume na kiapo chako. Kukaa pembeni si dalili ya kushindwa Bali nikuiombea mahakama msamaha kwa wannchi na kupunguza lawama na dhambi ulizochuma ukiwa hapo juu.

Watanzania wanalia na kuumia kwa kupoteza wapendwa wao wakiwa jela au wengine kufariki kwa presha kwa kusikia wapendwa wao wapo ndani. Wengine Ni walemavu na baadhi familia zimesambaratika, jitafakari.
Mahakama zilikuwa kichochoro cha kubambika uonevu na mwendazake.
Mahakimu, Majaji, wote waliishi kwa terror !
 
Kinachofanyika mahakamani kwa miezi mitatu mfululizo ni ishara kwa muhimili wa mahakama kushindwa kutekeleza wajibu wake na kutekeleza maelekezo ya serikali.

Kwa kuwa mkuu wa muhimili wa mahakama ni yule yule aliyekuwepo wakati watu wanaonewa na kubambikiwa kesi na kwa kipindi chote hicho alikaa kimya, naomba busara imwelekeze Jaji Mkuu kuachia ngazi na kuruhusu usukaji upya wa muhimili wa mahakama unaoweza kusimamia haki.

Muhimili huu ukiendelea kusikiliza serikali inataka nini na kutekeleza dhana ya separation of power haitakuwa na maana nchini.

Mzee nikuombe utafakari Kama uliyowafanyia wananchi wa Tanzania kwa miaka mitano yanakushuhudia kuendelea kukalia hicho kiti. Najua ulisukumwa kuminya haki na ukatekeleza kinyume na kiapo chako. Kukaa pembeni si dalili ya kushindwa Bali nikuiombea mahakama msamaha kwa wannchi na kupunguza lawama na dhambi ulizochuma ukiwa hapo juu.

Watanzania wanalia na kuumia kwa kupoteza wapendwa wao wakiwa jela au wengine kufariki kwa presha kwa kusikia wapendwa wao wapo ndani. Wengine Ni walemavu na baadhi familia zimesambaratika, jitafakari.
Mtu ambae anaongoza muhimili unaoogopa kutoa haki ili kuepuka mgongano na bunge/serikali, HATUFAI.
Migongano ikiwekwa hadharani ndio inasaidia kufichua na hivyo kuwezesha kuondoa udhaifu wa sheria/katiba iliyopo.
 
Kinachofanyika mahakamani kwa miezi mitatu mfululizo ni ishara kwa muhimili wa mahakama kushindwa kutekeleza wajibu wake na kutekeleza maelekezo ya serikali.

Kwa kuwa mkuu wa muhimili wa mahakama ni yule yule aliyekuwepo wakati watu wanaonewa na kubambikiwa kesi na kwa kipindi chote hicho alikaa kimya, naomba busara imwelekeze Jaji Mkuu kuachia ngazi na kuruhusu usukaji upya wa muhimili wa mahakama unaoweza kusimamia haki.

Muhimili huu ukiendelea kusikiliza serikali inataka nini na kutekeleza dhana ya separation of power haitakuwa na maana nchini.

Mzee nikuombe utafakari Kama uliyowafanyia wananchi wa Tanzania kwa miaka mitano yanakushuhudia kuendelea kukalia hicho kiti. Najua ulisukumwa kuminya haki na ukatekeleza kinyume na kiapo chako. Kukaa pembeni si dalili ya kushindwa Bali nikuiombea mahakama msamaha kwa wannchi na kupunguza lawama na dhambi ulizochuma ukiwa hapo juu.

Watanzania wanalia na kuumia kwa kupoteza wapendwa wao wakiwa jela au wengine kufariki kwa presha kwa kusikia wapendwa wao wapo ndani. Wengine Ni walemavu na baadhi familia zimesambaratika, jitafakari.
Mtu ambae anaongoza muhimili unaoogopa kutoa haki ili kuepuka mgongano na bunge/serikali, HATUFAI.
Migongano ikiwekwa hadharani ndio inasaidia kufichua na hivyo kuwezesha kuondoa udhaifu wa sheria/katiba.
 
Uko sahihi kabisa, je kesi yake huko mahakamani ilikuwa ni juu ya hili? Tuchukulie hii ndio sababu japo kesi ni ya kubambikiwa madawa, kama kauli hii ilikuwa tatizo, kwanini yule aliyesema Zito auwawe hakubambikiwa kesi ya madawa pia?
AU yule aliyesema HADHARANI kuwa, Lisu akirudi, atammuua kwa kumchoma sindano ya sumu, aliitwa popote kujieleza?
 
Mwendazake aliuminya, sasa hivi nao umeanza kupumua kama sisi. Jaji Mkuu alibaki cheo tu mamlaka yote ya kikatiba alipokwa!!
 
Naunga mkono. Jaji Mkuu hawezi kutenganishwa na ubinyaji haki uliofanyika 2015-21. Ni sehemu ya ufedhuli huo. The same can be said about AG, Jaji Kaijage, Jaji Mutungi, Mahera, Ndugu-gay, IGP, na DPP aliyepandishwa cheo na kuwa Jaji. Lakini kama DPP alipandishwa cheo, unafikiri Jaji Mkuu ana sababu ya kujali?
Umenena vyema.
 
Kinachofanyika mahakamani kwa miezi mitatu mfululizo ni ishara kwa muhimili wa mahakama kushindwa kutekeleza wajibu wake na kutekeleza maelekezo ya serikali.

Kwa kuwa mkuu wa muhimili wa mahakama ni yule yule aliyekuwepo wakati watu wanaonewa na kubambikiwa kesi na kwa kipindi chote hicho alikaa kimya, naomba busara imwelekeze Jaji Mkuu kuachia ngazi na kuruhusu usukaji upya wa muhimili wa mahakama unaoweza kusimamia haki.

Muhimili huu ukiendelea kusikiliza serikali inataka nini na kutekeleza dhana ya separation of power haitakuwa na maana nchini.

Mzee nikuombe utafakari Kama uliyowafanyia wananchi wa Tanzania kwa miaka mitano yanakushuhudia kuendelea kukalia hicho kiti. Najua ulisukumwa kuminya haki na ukatekeleza kinyume na kiapo chako. Kukaa pembeni si dalili ya kushindwa Bali nikuiombea mahakama msamaha kwa wannchi na kupunguza lawama na dhambi ulizochuma ukiwa hapo juu.

Watanzania wanalia na kuumia kwa kupoteza wapendwa wao wakiwa jela au wengine kufariki kwa presha kwa kusikia wapendwa wao wapo ndani. Wengine Ni walemavu na baadhi familia zimesambaratika, jitafakari.
Kabla hujaleta mada jitahidi kufahamu nani mwenye majukumu ya kupeleleza uhalifu, kufungua mashtaka, kutoa maamuzi na hata kukamata wahalifu.
 
Mnapenda kuangushia jumba bovu kwa wenzenu..mbona wew hutukukuona hata sku1 ukiandamana kwenda ikulu kudai hO haki...au kukuona hata ukitoa maoni kwenye video ya kulaan uonevu huo?kwan we si ni raia wa Tz...?
Unalingalisha jaji kukataa kupindisha hukumu na mie kufanya maandamano kwenda ikulu? Wapi mie niliapa nitaandamana kwenda ikulu kudai haki ikiwa mtu mwingine akipindishiwa hali zake? Tumia common sense kidogo tu utaheshimika na jumuia
 
Point nzuri sana umetoa. Lakini hata akikataa kujiuzulu, tumejua wazi kwamba hana lolote kichwani, alikuwa bendera fuata upepo wa kuamrishwa. Ni mwanasheria very weak ambaye ametia aibu tasnia ya sheria. Kama alishinikizwa alipaswa kujiuzulu kulinda hadhi yake na kada ya sheria

Watu wa namna yake ndio wa kwanza kupigwa risasi hadharani mapinduzi yanapotokea kuondoa tawala dhalimu.
Lini mtaipindua serikali??
 
Point nzuri sana umetoa. Lakini hata akikataa kujiuzulu, tumejua wazi kwamba hana lolote kichwani, alikuwa bendera fuata upepo wa kuamrishwa. Ni mwanasheria very weak ambaye ametia aibu tasnia ya sheria. Kama alishinikizwa alipaswa kujiuzulu kulinda hadhi yake na kada ya sheria

Watu wa namna yake ndio wa kwanza kupigwa risasi hadharani mapinduzi yanapotokea kuondoa tawala dhalimu.
Sio serikali hii inawashinikaza waachiwe huru hata kama makosa yapo lakini kama yanakisingizio cha siasa waachiwe huru? Kila mtawala na maelekezo yake hata kama ni ya kufumba macho
 
Lini mtaipindua serikali??
Kupindua serikali mambo ya kizamani. Siku hizi ukizidi wewe ndio unafanyiwa dili mpira uwekwe kati ngoma ianze upya. Na kwa nini u-fix kitu kinachofanya kazi vizuri? Amini nakuambia, huyo jamaa yako uamuzi ulishachukuliwa

Angalia hapa, na tazama ni post ya lini

 
Kinachofanyika mahakamani kwa miezi mitatu mfululizo ni ishara kwa muhimili wa mahakama kushindwa kutekeleza wajibu wake na kutekeleza maelekezo ya serikali.

Kwa kuwa mkuu wa muhimili wa mahakama ni yule yule aliyekuwepo wakati watu wanaonewa na kubambikiwa kesi na kwa kipindi chote hicho alikaa kimya, naomba busara imwelekeze Jaji Mkuu kuachia ngazi na kuruhusu usukaji upya wa muhimili wa mahakama unaoweza kusimamia haki.

Muhimili huu ukiendelea kusikiliza serikali inataka nini na kutekeleza dhana ya separation of power haitakuwa na maana nchini.

Mzee nikuombe utafakari Kama uliyowafanyia wananchi wa Tanzania kwa miaka mitano yanakushuhudia kuendelea kukalia hicho kiti. Najua ulisukumwa kuminya haki na ukatekeleza kinyume na kiapo chako. Kukaa pembeni si dalili ya kushindwa Bali nikuiombea mahakama msamaha kwa wannchi na kupunguza lawama na dhambi ulizochuma ukiwa hapo juu.

Watanzania wanalia na kuumia kwa kupoteza wapendwa wao wakiwa jela au wengine kufariki kwa presha kwa kusikia wapendwa wao wapo ndani. Wengine Ni walemavu na baadhi familia zimesambaratika, jitafakari.
Hadi sasa hivi Tanzania kuna Prof. mmoja tu. The one and only Prof. Musa Assad. Wengine wote waliobaki ni wachumia tumbo tu!
 
Kupindua serikali mambo ya kizamani. Siku hizi ukizidi wewe ndio unafanyiwa dili mpira uwekwe kati ngoma ianze upya. Na kwa nini u-fix kitu kinachofanya kazi vizuri? Amini nakuambia, huyo jamaa yako uamuzi ulishachukuliwa

Angalia hapa, na tazama ni post ya lini

Sijaona ukifanya haya mkuu.

Tatizo nini labda??
 
Back
Top Bottom