Namshauri Jaji Mkuu ajiuzulu

Namshauri Jaji Mkuu ajiuzulu

Watu wengine ambao wameajiliwa watende haki na kazi yao inawataka watende haki halafu wanaacha miiko ya kazi yao ya kutenda haki na kuamua kuterekeza maadili ya kazi zao kwa kufuata maelekezo ya mtu mmoja,ukiwataka wajiuzuru utakuwa hujawatendea haki,hao wanatakiwa wafe kabisa wamfuate baba yao aliko ili baadae akizaliwa dikteta mwingine wasije wakabadilika tena, wakaanza kuumiza wananchi kwa kufuata maelekezo ya dikteta mpya.
 
Point nzuri sana umetoa. Lakini hata akikataa kujiuzulu, tumejua wazi kwamba hana lolote kichwani, alikuwa bendera fuata upepo wa kuamrishwa. Ni mwanasheria very weak ambaye ametia aibu tasnia ya sheria. Kama alishinikizwa alipaswa kujiuzulu kulinda hadhi yake na kada ya sheria

Watu wa namna yake ndio wa kwanza kupigwa risasi hadharani mapinduzi yanapotokea kuondoa tawala dhalimu.
Wewe unajuaaje kama hao wanaotoa hao watu hawafati masharti ya mkubwa wao na maelekezo?
Tumieni akili na sio visogo.
 
Back
Top Bottom