Point nzuri sana umetoa. Lakini hata akikataa kujiuzulu, tumejua wazi kwamba hana lolote kichwani, alikuwa bendera fuata upepo wa kuamrishwa. Ni mwanasheria very weak ambaye ametia aibu tasnia ya sheria. Kama alishinikizwa alipaswa kujiuzulu kulinda hadhi yake na kada ya sheria
Watu wa namna yake ndio wa kwanza kupigwa risasi hadharani mapinduzi yanapotokea kuondoa tawala dhalimu.