Huyo ni Rais wa nchi ana kazi za kufanya hawezi kuacha ofisi ya urais kwa muda mrefu la sivyo nchi itasimama!Nini kinasababisha magufuli apumzike mara kwa mara ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni Rais wa nchi ana kazi za kufanya hawezi kuacha ofisi ya urais kwa muda mrefu la sivyo nchi itasimama!Nini kinasababisha magufuli apumzike mara kwa mara ?
Njoo umsaidie kuchanja mbuga!! Wewe umekaa huko kwa mabeberu unataka wenzako wapigwe mabomu wavunjwe miguu wewe uendelee kubeba mabox tu au?Mkuu siku 7 nje ya kampeni ni siku nyingi sana hasa ukitilia maanani kwamba Nchi yetu ni kubwa na hizi ni dakika za lala salama. Achanje mbuga tu.
Afya mbofumbofu inazoofishwa na msongo wa mawazo wa nguvu ya mgombea wa ChademaNini kinasababisha magufuli apumzike mara kwa mara ?
Wanaweza wakamfuta mazima chadema ikakosa mgombea kabisaKwanini usiishauri Kwanza tume ifate kanuni ilizo kiwekea? Tena ni kanuni hizo hizo tume iliaminisha watu kuwa imetumia kuengua wagombea was upinzani.
Wakimfuta kqbisa je?Bora afanye kampeni na wajaribu kumzuia ili dunia ione na ikusanye vizuri ushahidi juu ya hawa wauaji na watu wenye roho mbaya
Ingawa hili tu la kumzuia kufanya kampeni kwa siku 7 ni ushahidi tosha
Vipi tume ya maadili haiwezi kumfuta mazima akikaidi?Hapana, asimame ili joto lipoe? No way, Uchaguzi hauwezi kuendeshwa kwa maelekezo ya Magufuli, No way
Je, Lisu akikaidi hatofutwa ?Busara gani itumike kama mtu ana kesi mahakamani na ameruhusiwa kugombea tena urais?
Busara gani kama baadhi ya wagombea wanakashfu wenzao lakini wameachwa huru na kuendelea na kampeni?
Busara gani kama baadhi ya wagombea wanaua lakini upande wa pili wamekaa kimya?
Tuache ujinga wa kutaka kuheshimiwa halafu kuheahimu wengine hutaki.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ulitaka afanyie makalioni kwako??Lissu mwepesi tu halafu muoga kama kunguru. Ndiyo mikutano yake yote anafanyia nyumbani kwake.
Makalioni kwako!Ulitaka afanyie makalioni kwako??
Hapo ndo patamu zaidi!! Hakuna mtanzania atakayekubali hilo. Na kabla ya uchaguzi tu Chadema watuhamasishe tuingie mtaani.Wakimfuta kqbisa je?
Lkn Nina hofu na utekelezaji wa hilo la kuingia barabarani. Mabeyo atawatuma vijana wake kufanya usafi mitaani.Hapo ndo patamu zaidi!! Hakuna mtanzania atakayekubali hilo. Na kabla ya uchaguzi tu Chadema watuhamasishe tuingie mtaani.
CCM HAKUNA KUCHEKA NAO. UKICHEKA NAO UNAVUNA MABUA KWELI.
MWAKA HUU LAZIMA KIELEWEKE
Atakaloamua lissu yeye mwenyewe ndio litakuwa Sahihi. Alipigwa Risasi kwakuwa alishaonekana kuw akitisho cha uchaguzi. So kwa maumivu aliyopata sitegemei atafanya maamuzi ambayo sio sahihi kwake.Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu bali your strength hata watoto wameiona.
Nakushauri simama hizo siku 7 kwani katika nafsi zao wana hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia.
Kila mtu anaona injustice inayotokea.
Ni ushauri tu, kwani nakumbuka umepitia mengi.
Atafeli tu hata kama kashajifanya swahiba wa jiwe.Lkn Nina hofu na utekelezaji wa hilo la kuingia barabarani. Mabeyo atawatuma vijana wake kuyafanya usafi mitaani.
Nakwambia hakuna mwanajeshi anaejielewa atakaechukua orders za mabeyo!!!Lkn Nina hofu na utekelezaji wa hilo la kuingia barabarani. Mabeyo atawatuma vijana wake kuyafanya usafi mitaani.
Wana agenda yao, wanahitaji huruma ya wananchi, wanahitaji matamko ya mabepari lakini mwisho wa yote no tarehe 28 Oktoba.Busara gani itumike kama mtu ana kesi mahakamani na ameruhusiwa kugombea tena urais?
Busara gani kama baadhi ya wagombea wanakashfu wenzao lakini wameachwa huru na kuendelea na kampeni?
Busara gani kama baadhi ya wagombea wanaua lakini upande wa pili wamekaa kimya?
Tuache ujinga wa kutaka kuheshimiwa halafu kuheahimu wengine hutaki.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe kabisa atumie hizo siku saba za adhabu kujiandaa kumalizia nngwe maana yote yanayompata wapiga kura wanayaona na uamuzi wa mwisho ni wao. Ukimjua adui yako usimpe nafasi akumalize kwa urahisi bali mkimbie ikiwezekana mpaka upate nafasi ya kummaliza.Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu bali your strength hata watoto wameiona.
Nakushauri simama hizo siku 7 kwani katika nafsi zao wana hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia.
Kila mtu anaona injustice inayotokea.
Ni ushauri tu, kwani nakumbuka umepitia mengi.
Afutwe kwa kosa gani? lini hao tume waliwahi kumuandikia malalamiko yao halafu Lissu akashindwa kuwajibu?Vipi tume ya maadili haiwezi kumfuta mazima akikaidi?