Namshukuru Mungu, haya ndiyo mafanikio makubwa kabisa niliyoyapata mwaka huu

Namshukuru Mungu, haya ndiyo mafanikio makubwa kabisa niliyoyapata mwaka huu

Watu wengi wenye akili za kifukara hulitafsiri neno mafanikio kwamba ni kuwa tajiri au kutajirika.

Wenye akili wanajua fika kwamba mafanikio sio kuwa tajiri wala sio kutajirika, ila mafanikio ya kweli ni kutimiza ndoto zako.

Namshukuru Mungu, mwaka huu nimeweza kuacha tabia ya kupiga punyeto. Nilianza kupiga punyeto mwaka 1993 nikiwa form 2 na niliendelea kupiga punyeto hata nilipoingia kwenye ndoa. Nilijaribu kwa kila njia kuacha tabia hii lakini nikashindwa. Ila baada ya kuhangaika kwa miaka mingi, hatimaye mwaka huu nimeweza kufanikiwa kuachana na tabia hii.

Pia namshukuru Mungu kwa kuweza kuniachisha tabia ya ulevi wa pombe. Pombe ilikuwa imenitawala sana, ufanisi wangu kazini ulishuka sana, nimeharibu kazi sehemu mbalimbali nankutimuliwa sababu ya pombe. Lakini mwaka huu, mkono wa Bwana umekuwa mkubwa sana juu yangu. Ile kiu ya pombe na ulevi uliopitiliza imekata kabisa. Naweza kuwepo sehemu yenye pombe nyingi tu, tena za bure, lakini sitamani hata kusikia harufu yake. Ni Mungu tu amenisaidia, sijatumia hirizi wala mizizi, ni maombi tu.

Pia nilikuwa na tatizo la kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile. Kwangu mwanamke nilikuwa namgeuza kama samaki, nakula hadi mifupa, namgeuza kusini mpaka kaskazini, magharibi na mashariki.

Mungu ni mwema sana, sasa sijisikii kabisa kuingiza tundu lile, hakika Mungu ni mwema sana kwangu.

Wadada wengi niliokuwa nawafyatua, wanasema wanatamani niwagegede, jibu langu limekuwa ni moja tu, sitaki. Basi wanaishia kutukana tu, umenifundisha mwenyewe sasa mimi nani atanifanya hivi? Nawajibu huko wafuraji mbona wengi tu, utakutana nao hukohuko.

Ninamshukuru Mungu kwa kunionekania mwaka huu 2022. Hakika hakuniacha bure.
Mkuu huo mwaka wako wakuaanza punyeto ndo nazaliwa,yani uliwatoa watoto wako mwaka huo kwa punyeto sasa hivi tungekuwa na umri sawa,maisha hayako fair.kabisa
 
Kama 1993 ulikua form 2 na unapiga mkono bao, mpka leo ni 29 yrs za exclusive raha jipe mwenyewe..🤔🤔🤔
Aisee, kama umesoma cuba utaelewa hiki kuhusu huyu jamaa
Screenshot_20220812-090309_Quora.jpg
 
We inaonekana kila starehe umefanya ww, hujawi pakwa mafuta kweli
 
We inaonekana kila starehe umefanya ww, hujawahi pakwa mafuta kweli
 
Watu wengi wenye akili za kifukara hulitafsiri neno mafanikio kwamba ni kuwa tajiri au kutajirika.

Wenye akili wanajua fika kwamba mafanikio sio kuwa tajiri wala sio kutajirika, ila mafanikio ya kweli ni kutimiza ndoto zako.

Namshukuru Mungu, mwaka huu nimeweza kuacha tabia ya kupiga punyeto. Nilianza kupiga punyeto mwaka 1993 nikiwa form 2 na niliendelea kupiga punyeto hata nilipoingia kwenye ndoa. Nilijaribu kwa kila njia kuacha tabia hii lakini nikashindwa. Ila baada ya kuhangaika kwa miaka mingi, hatimaye mwaka huu nimeweza kufanikiwa kuachana na tabia hii.

Pia namshukuru Mungu kwa kuweza kuniachisha tabia ya ulevi wa pombe. Pombe ilikuwa imenitawala sana, ufanisi wangu kazini ulishuka sana, nimeharibu kazi sehemu mbalimbali nankutimuliwa sababu ya pombe. Lakini mwaka huu, mkono wa Bwana umekuwa mkubwa sana juu yangu. Ile kiu ya pombe na ulevi uliopitiliza imekata kabisa. Naweza kuwepo sehemu yenye pombe nyingi tu, tena za bure, lakini sitamani hata kusikia harufu yake. Ni Mungu tu amenisaidia, sijatumia hirizi wala mizizi, ni maombi tu.

Pia nilikuwa na tatizo la kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile. Kwangu mwanamke nilikuwa namgeuza kama samaki, nakula hadi mifupa, namgeuza kusini mpaka kaskazini, magharibi na mashariki.

Mungu ni mwema sana, sasa sijisikii kabisa kuingiza tundu lile, hakika Mungu ni mwema sana kwangu.

Wadada wengi niliokuwa nawafyatua, wanasema wanatamani niwagegede, jibu langu limekuwa ni moja tu, sitaki. Basi wanaishia kutukana tu, umenifundisha mwenyewe sasa mimi nani atanifanya hivi? Nawajibu huko wafuraji mbona wengi tu, utakutana nao hukohuko.

Ninamshukuru Mungu kwa kunionekania mwaka huu 2022. Hakika hakuniacha bure.

Hongera sana kwa kuingia msimu mpya.Ila jambo moja la kufanya ni kuwasaidia na wenzako wenye tatizo kama hilo.Mfano,wale uliokuwa ukifanya nao uzinzi wakikujia wambie ukweli kwamba kwa sasa umeokoka na pia yuko Mungu ambaye amekubadilisha maisha.Washuhudie pia nao wapate hiyo neema uliyoipata.wala usijibu kama hivyo unavyofanya.sababu nao wameshashikwa na nguvu za kipepo za kiu ya kuingiliwa kinyume.

Kama kuna jambo ambalo siyo jepesi kuliacha,narudia tena siyo jepesi kuliacha ni kuacha uzinzi.unzinzi una kiu ya ajabu sana.Nami nilipata shida kubwa sana kuushinda.kimsingi ilikuwa ndiyo dhambi ya mwisho kuiacha.vitu vingine nilifanikiwa kupambana nazo kwa wepesi zaidi.Ila uzinzi nilikuwa naacha lakini narudia tena naacha narudia tena,tena kitu cha ajabu ukidhamiria kuacha uzinzi ,mazingira ya uzinzi yanajitengeneza na kujirahisisha.Nilipambana mpaka nilipomwambia Mungu anisaidie kwa hili kwa sababu nataka kuishi maisha ya jinsi ya kumpendeza yeye.Si mimi
ila ni Mungu mwenyewe aliyenipa neema yake ya kunishindia na uovu huu.

Ila,trust me, maisha ya bila uzinzi na uasherati ni matamu zaidi kuliko ya uasherati na uzinzi,
 
Back
Top Bottom