mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,919
Huyu Guzman antia mashaka... Smart911 ..watch out.Ndoa mnafunga lini wapendanao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Guzman antia mashaka... Smart911 ..watch out.Ndoa mnafunga lini wapendanao
Watch out smart 911 ...a danger bell is ringing in my brain.Huyu Guzman antia mashaka... Smart911 ..watch out.
Ndoa mnafunga lini wapendanao
Haaaa watu tunataka kula kipunga we endelea kuwa na mashaka tuHuyu Guzman antia mashaka... Smart911 ..watch out.
Badala ya neno 'kipunga' isije ikawa neno 'kiv*zi'.Haaaa watu tunataka kula kipunga we endelea kuwa na mashaka tu
Na ujuwe Mahondaw... Siku Zote penye wivu kuna mapenzi. Watch out!!Uwiii Guzman wivu tu ndo umemjaaa ndomana anauliza maswali ya kizushi
Kwa nivokufa na kuoza kwa Smart911 sisikii wala sioni pale nimefika nimedattttttaaaa the guy yuko vizuri kila idara nitafute nini tenaaa mahondaw miye !!
Acha uchochezi mkuuBadala ya neno 'kipunga' isije ikawa neno 'kiv*zi'.
Ohooo.. HayaExactly. they say
True love comes with jealous in it
Mahondaw uyo shemu wako mbona mchochezi sanaExactly. they say
True love comes with jealous in it
Nisikupurushie ndege wako.... Unawinda kimya kimya.Acha uchochezi mkuu
Haaaa nawe unakubali uchochezi
Kwa hio nipige kimya.... Ukisikia mtu anatumia sana neno uchochezi ujue ima yumo madarakani au anatarajia kuingia madarakani.Mahondaw uyo shemu wako mbona mchochezi sana
Where is he?Usijali mzeewakungoa aliekidhi Vigezo na masharti ni Smart911 pekeake
Wengine bado sanaaaaa khakhaakhaa Smart911 kiboko yaooooooooo
Smart911 sweetheart amich uuuuuuuuuuuuu
Teh teh teh labda hauko siriasHongera kaka mm kila siku nikiweka uzi wa kuhitaji mke wana like wanaume wenzangu tu mpk linazama
Ngoja nikubadilishe kabila uwe mhehe ili badae ujinyongeeeWeeeeeeh thubutuuuuu
Huo muda anautoa wapi na Schedules zake zilivo tight!!
Yupo bize kuanzia asubuhi mpaka Jioni Akitoka hapo akili yote hoii kwa kazi anayofanya khakhaakhaa Smart911 the small boss hacheki na kimaa serious hata kazini wanamjua
Akitoka huyoo nyumbani hana vya kuzururazurura straight hom tunapumzika kidogo story mbiltatu haoo tunatoka pamoja.
Smart911 ni wa kipekee sana sijawahi ona I'm so lucky to have this man