Namshukuru Mungu JF imenipa mke mwema

Aisee hongera sana mkuu!!

Kumbe humu kuna wanawake kabisa!!! Ngoja nijiandae kuweka na mimi!!
 
Kumbe humu watu wanafunga ndoa kbsa mm najila tuu humu, ngoja nitafte wangu na mm, khaaa
 
Hongera Mkuu, ila hata ningekua mm ningekataa biashara ya kuuza majeneza hahahah hapana ningekimbia

Mala 100 auze mitumba lakin majeneza hapana
Huwezi kuamini biashara hii imenifanya niishi maisha mazuri namiliki nyumba nzuri na kausafiri ka maana japo sio ka bei sana.!
Asikwambie mtu biashara mnazozidharau ndo zinawatoa wengine kimaisha.!
Mwanzo niliiogopa sana kazi hii (kipindi kile nafanya kazi ya wizi wa mafuta ya transformer)
Lakini baada ya kuingia kwenye biashara ya majeneza nimekuwa mtu mwingine kabisa.!
Wala silalamiki kama wengine eti hali ngumu.!
Mimi napiga hela kila siku na wala silipi mapato maana hata wale TRA hawaji hovyo eneo letu.
Na kwa kuwa serikali inahamia hapa Dom naamini muda si mrefu natajirika maana zile presha na ajali kila mara itakuwa kawaida.
Kazi hii naipenda sana na ndo imenipa nyumba,gari, na sasa mke.[emoji12]
 
Hongra saana mkuu, Mungu akuongoze ktk jambo jema la Ndoa.
Tangulia nasi tunafuata baadae
 
Kwa wale mnaohitaji kunisapoti katika kazi karibuni!
Huduma zetu ni:
-Majeneza ya kisasa saizi zote
-Sanda na marashi ya kuhifadhia maiti
- pia tunatoa huduma za mazishi, kuandaa na kujenga makaburi ya kisasa.!
-Kuboresha makaburi ya zamani kuwa mapya.
-Kuosha maiti
Tuko Dodoma karibu na hospital ya wilaya karibuni bei zetu ni nafuu sana.!!!
 
Nimeamini JF imesaidia wengi ngoja na mm nijaribu bahati yangu Na mm pia nisaidieni kutafuta mke mwema jamani au atakayejitolea humu ndani 24 condition awe na miaka chini ya 23 ila kwangu mm pia nina miaka 25 kama atapatikana ata niinbox natanguliza shukrani napenda sana kuwa na mtu wa kubadilishana mawazo .!!!!!
 
Ni mapema mno kushukuru,ni heri ungekuja kushukuru mkiwa honey moon baada ya harusi! Any way nawatakia kila la heri
 
"pita hivi nipite vileee" Tehteh
Kuna mtu nilimwambiaga hii kauli enzi hizooo
Khakhaakhaa

Cc Smart911
Kuviruhusu vibinti kukusogelea shida saana. Acha kunifuatilia tulia na jamaa kama yupo real uolewe. Yalisha pita focus ya sasa mdada.

Buy, sitegemei unifuatilie tehna wala sitakujibu tena. Naheshimu watu humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…