Namshukuru Mungu JF imenipa mke mwema

Namshukuru Mungu JF imenipa mke mwema

Dah mkuu hongera sana maana humu mkuu kuna wengi hawaaminiki kwa kweli
tunaogopa kupelekwa mabwe kwenye kugaiwa viwanja kama Dk Ulimboka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwenyewe mwanzoni sikumwamini sana huyu ila kwa sasa nimeshamzoea na kuona kweli nimepata mke mwema.!
Halafu kuna watu ukiwaona humu jukwaani halafu ukaja kuonana nao live ni tofauti kabisa na zile story za pumba wanazokoment.
Kuna wengi huingia Jf ili kuondoa stress mimi pia ni mmoja wao lakini tukikutana live utashangaa.!
Ndivyo ilivyotokea kwa mimi na huyu member mwezetu (shemeji/wifi yenu)
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwenyewe mwanzoni sikumwamini sana huyu ila kwa sasa nimeshamzoea na kuona kweli nimepata mke mwema.!
Halafu kuna watu ukiwaona humu jukwaani halafu ukaja kuonana nao live ni tofauti kabisa na zile story za pumba wanazokoment.
Kuna wengi huingia Jf ili kuondoa stress mimi pia ni mmoja wao lakini tukikutana live utashangaa.!
Ndivyo ilivyotokea kwa mimi na huyu member mwezetu (shemeji/wifi yenu)
Mkuu kama umepata shukuru mungu maana wengi nikiwatizama naona tutakuja kutiana degedege za ukubwani bure
 
Tatizo ni lipi Mkuu!? Kwani kuna tofauti gani kukutana na mpenzi humu mkaanza kupendana, hatimaye kukutana na kama wote mnakubaliana kwamba mko tayari kuishi kama mume na mke basi mkafunga pingu za maisha!?

Usilidharau penzi linaloanzia mtandaoni, lina majaribu kama penzi la wanaokutana vyuoni, maofisini, kitaa etc lakini pia linaweza kushamiri na ndoa kufungwa.

Hapa jamvini kuna wanaume na wanawake wenye sifa nyingi za kuwemo kwenye ndoa.
kweli tupo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwenyewe mwanzoni sikumwamini sana huyu ila kwa sasa nimeshamzoea na kuona kweli nimepata mke mwema.!
Halafu kuna watu ukiwaona humu jukwaani halafu ukaja kuonana nao live ni tofauti kabisa na zile story za pumba wanazokoment.
Kuna wengi huingia Jf ili kuondoa stress mimi pia ni mmoja wao lakini tukikutana live utashangaa.!
Ndivyo ilivyotokea kwa mimi na huyu member mwezetu (shemeji/wifi yenu)
Ni kweli kabisa unachosma... Kuna watu humu tofauti kabisa na ukikutana nao face to face...


Siku ya kwanza nakutana na mahondaw face to face sikuamini kama ni yeye ambaye amekuwa mtundu mtundu sana JF... Ana aibu sana... Mataratibu.. Mpole.. Msikilizaji.. Muelewa... Na mwenye mapenzi ya kweli... Sauti yake sasa ya upole na unyenyekevu balaa... Alafu ni mwanamke anayejitambua...

mahondaw, Smart911 loves you sana...



Nakuunga mkono Mbwa dume
 
Duuu umenipa ufumbuzi nilikua. Nimeshaomba. Nitaftiwe. Mkee mkoani kwetu nasitisha malamoja. Nitamtafta. Umuumu. Mwanamke. Angaliwi kilimo. Mjini. Akuna mashamba naktakia mafanikio mema
 
Back
Top Bottom