BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Hilo naamini kabisa @Shunnie. Siwezi kuandika kitu ambacho sina uhakika nacho.
kweli tupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli tupo
hahahahh we mtu ni sheeda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahaha nimechekaaa balaaa
[emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23]Bro, yangu itoe bwana mimi bado nipo nipo saana
Ndio mkuu we mtu kama miss chaga Zinaweza kuja pata degedege hivi hivi najiona ?hahahhh degedege za ukubwani
[emoji57][emoji57] mimi kiumbe sio...! Ama nini🙁🙁🙁
Kwa ataekuwa na huyo kiumbe anahitaji mioyo ya ziada if possible hata mioyo mitatu mitatu make kwa moyo mmoja huu wa damu na nyama huu ...........
Yaani wewe endelea kunipiga vita... kuna mtu kanituliza huwezi amini sifurukutihahahahh we mtu ni sheeda
Najua mbona mpk husna ameachwa [emoji23][emoji23] mwendo wa kuitana mkuu tu badala ya babyYaani wewe endelea kunipiga vita... kuna mtu kanituliza huwezi amini sifurukuti
Ila wewe una nini lakini.Najua mbona mpk husna ameachwa [emoji23][emoji23] mwendo wa kuitana mkuu tu badala ya baby
na kweli tembea kwingi uone vingi tehIla wewe una nini lakini.
Tembea kwingi uone vingi
Na mimi week ijayo naenda kutoa posana kweli tembea kwingi uone vingi teh
hahahahh tunakuombea sana iwe kweliNa mimi week ijayo naenda kutoa posa
Ni kweli..hahahahh tunakuombea sana iwe kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli..
jiandae kupiga vigelegele na vivijoo kaka yako naenda kuoa soon... nimechoka kuzunguka mim