Namshukuru Mungu JF imenipa mke mwema

Namshukuru Mungu JF imenipa mke mwema

Nielekeze mkuu ili niongeze umakini[emoji4]
hata nikikuelekeza huwezi elewa ndomana nimekwambia likikupata siku ndo ntakwambia hilo degedege la ukubwani ulokuwa unaliulizia ndo hilo
 
Hongera Mkuu, ila hata ningekua mm ningekataa biashara ya kuuza majeneza hahahah hapana ningekimbia

Mala 100 auze mitumba lakin majeneza hapana
 
Aisee mkuu hongera sana, kwa hiyo Mbwajike kapatikana?
[HASHTAG]#Jokes[/HASHTAG]
 
hapo kwa Daby na husna [emoji23] uchumba umeshakufa

🙁🙁🙁

Kwa ataekuwa na huyo kiumbe anahitaji mioyo ya ziada if possible hata mioyo mitatu mitatu make kwa moyo mmoja huu wa damu na nyama huu ...........

tena hiyo mioyo mi3 iwe ya chuma [emoji23] Daby n changamoto

[emoji57][emoji57] mimi kiumbe sio...! Ama nini

Bro You are mistaken I think!
Anyway sio wewe walaaaa namaanisha mwingine kabisaa kuna mmoja alitaka kuleta habari za kuna petro na kuna yuda akajishaua eti don't quote or mention me anywhere khakhaakhaa nikacheeeeekaa
Miye teinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol mpaka waleo heshima inachukua mkondo wake

mzeewakungoa Maisha haya ukizoea watu sanaaaaa waeza hatarisha ndoa yako takatifu

Cc Smart911
 
Back
Top Bottom