Namshukuru Mungu JF imenipa mke mwema

Namshukuru Mungu JF imenipa mke mwema

Ni kweli kabisa unachosma... Kuna watu humu tofauti kabisa na ukikutana nao face to face...


Siku ya kwanza nakutana na mahondaw face to face sikuamini kama ni yeye ambaye amekuwa mtundu mtundu sana JF... Ana aibu sana... Mataratibu.. Mpole.. Msikilizaji.. Muelewa... Na mwenye mapenzi ya kweli... Sauti yake sasa ya upole na unyenyekevu balaa... Alafu ni mwanamke anayejitambua...

mahondaw, Smart911 loves you sana...



Nakuunga mkono Mbwa dume
I am trying to imagine how Shunie will be like
 
Bro You are mistaken I think!
Anyway sio wewe walaaaa namaanisha mwingine kabisaa kuna mmoja alitaka kuleta habari za kuna petro na kuna yuda akajishaua eti don't quote or mention me anywhere khakhaakhaa nikacheeeeekaa
Miye teinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol mpaka waleo heshima inachukua mkondo wake

mzeewakungoa Maisha haya ukizoea watu sanaaaaa waeza hatarisha ndoa yako takatifu

Cc Smart911
Kweli kabisa

Cc:Shunie
 
Ebu samahani kidogo Aliekufatilia Ninani kwani!???


Asante sana Smart911 wangu umevaa tinted hahaha hucheki na nyanii teh


Cc: Smart911
Calm down love... calm down mahondaw wangu... Don't go there... Relax... I already told you... If u r angry talk to me... Shout to me... Relief ur anger on me... I can take it... You can even bite me... Am fine...
 
That's my girl... [emoji8] [emoji8] [emoji8] smile and be happy always... Usigombane na mtu/watu... Ukiudhika/udhiwa njoo umalizie hasira zako zote kwangu... I know how to handle you love...

Hahahaahhahahaahahahahaha asante sana Smart911 wangu
Yani wale walinitibua sana ujue

Khakhaakhaa super Dear You know me very well kumbe!
 
Back
Top Bottom