Namshukuru Mungu JF imenipa mke mwema

Namshukuru Mungu JF imenipa mke mwema

Smart911 wangu hana blah blah


Najua uanatami iwe unavotaka na haiwi NG'ONOOO kwa Smart911 nimedattttttaaaa ananijulia haswaaaaaa na mapenzi anayajua haswaaaaaa
hamnaa.. mimisikuombei mabaya ..ila kama mdada hutakiwi uingie kichwa kichwa kwa mvulana ambaye hajakuoa bado.
 
mirejesho kama hii ndo tunaitak mana kuna wadad wanaandika wanatafuta wachumbaa cjui huwa wana joke mana sielewi
hongera kaka all the best
 
Back
Top Bottom