Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
- Thread starter
- #41
Kabisa mkuuNi vizuri kumkumbuka Mungu na watu walioonyesha upendo ulipopata ajali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuNi vizuri kumkumbuka Mungu na watu walioonyesha upendo ulipopata ajali.
Ahsante Sana mkuuHongera sana mkuu
Kama unafurahia kuishi na ufurahie kufa pia .ipo siku usiku kama wa leo utakuwa umefukiwa chini giza tororoo uko peke yako watu washarudi makwaoShabiki la Manchester hili hapa linamwaga stress zake tu
Dah Kiranga on fleek😂Kuamini unarugusiwa kuamini chochote, hata uongo. Ni haki yako ya kikatiba na kiutu. Sizungumzii imani, nazungumzia facts.
Hizo items 1 - 5 hakuna yoyote inayothibitisha Mungu yupo, umetumia logical non sequitur fallacy.
Watoto wanalelewa kwa kufundishwa ukweli wenye logical consistency.
Mungu angekuwapo hata usingekuwa na haja ya kuwafundisha lolote maana kila mtu angeelewa kila kitu vizuri tu.
Ukweli kwamba unahitaji kuwafundisha watoto at all ni ushahidi kwamba Mungu hayupo.
When bro ? It frustrating and pained how you escape deathDuh,sawa najua siku yangu itafika
Mimea,wadudu watanifaidi.
Kama unafurahia kuishi na ufurahie kufa pia .ipo siku usiku kama wa leo utakuwa umefukiwa chini giza tororoo uko peke yako watu washarudi ma
Mtu haogopi kufa, anaogopa aina ya kifo,When bro ? It frustrating and pained how you escape death
Pole Sana Kaka kwahiyo ukadhani namaanisha ?Usiache Kwa kuiga mkuu,kunywa tu kistaarabu 😂
Sasa Mimi ningejuaje Kaka 😂Pole Sana Kaka kwahiyo ukadhani namaanisha ?
Siwezi na sitakaa nifanye kitu Kama hicho
Pole sana. Hawa watu wa rufiji ni wa kuigwa.Lakini shukrani ni Kwa watu wa kijiji cha Jaribu mpakani,wilaya ya Kibiti.
Baada ya kunisaidia Kwa moyo wote
Pesa zangu kidogo,simu zangu zote niliziona,hongereni mwenyezi Mungu atawalipeni zaidi,pamoja na mabadiliko ya walimwengu lakini bado kuna binadamu wana mioyo safi.
Ujumbe.
Tuache dharau,
Tuheshimu kila mmoja hata kama ana kipato cha chini.
Atakaye kusaidia hatumjui
Usiku mwema