klorokwini..angalia usiwe unalipua tu mabomu chumbani ukaharibu na ladha! Erotica kabla ya chochote kumbuka Caveat emptor
klorokwini..angalia usiwe unalipua tu mabomu chumbani ukaharibu na ladha! Erotica kabla ya chochote kumbuka Caveat emptor
Sipendi wanaume wazuri hata chembe, wewe mzuri? sitaki kugombaniana kioo..
Ila hako ka mstari ka mwisho kamenivutia kama ndio ulikua na maana ninayofikiria. teh teh
Sipendi wanaume wazuri hata chembe, wewe mzuri? sitaki kugombaniana kioo..
Ila hako ka mstari ka mwisho kamenivutia kama ndio ulikua na maana ninayofikiria. teh teh
Umenifanya niende google translator! Kloro my loya yeye siyo baya tayari mmiliki.
Erotica, sijasema mi mzuri,ila nimesema nina mvuto bana.
...kwenye mstari wa mwisho, ubunifu ni wa hali ya juu, pia sio mbinafsi.
...naomba nafasi hutajuta, zaidi ya kujutia kutokuwa nami kipindi chote hicho.
...naaidi kukupenda kama Ayubu alivyoipenda mbingu.
Pliiiiiiiiiiiizi usinileti dauni.
Sex relieves tension - Love causes it - Marriage Multiplies it!
I am happy that am available for Sex-love-marriage for you ONLY! :yield:
klorokwini anavyopenda misifa akiiona hii anaweza changanyikiwa!! Mponde kidogo umshushe confo bana..lol
Kirusha roho natumaini hujanielewa, wafikiri wote nakutana nao? si ndio maana ya hiii interview?
Nimeenda park leo baada ya kutoroka kazini na kukuta vi baby vizuri kweli. Nikavitamani na nikaona why not na mimi nizae na niitwe mama. Uwezo wa kulea ninao na niya pia ninayo.
Nataka viwe vi mapacha. Baada ya kwenda home na kumuangalia boyfie nimeona ana mapungufu, anafaa
kuwa baba, ila sio kuni mimba.
Kuna utafiti uliopostiwa na Dr. MziziMkavu ulionesha sifa za mtoto hutegemea sifa wazazi pia.
Tumekuba8.. K,zen h!a i,em