Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane

Wanawake ambao wanawakandia waume zao huwa siwaelewi kabisa hivi ni lazima umkandie mume wako sababu umepata mwanaume mwingine tena wa mdamfupi tu?
Mbona hata wewe huwaga unanikandia baby? Sema mimi ni mstaarabu nakuhifadhi tu.

kutoka: 22D Arnold st.
 
looh shughuli pevu. leo ijumaa njia ya msalaba nenda umbahatishe.
mhhh wanadamu tuna madhambi lakini Mungu tu anatuhurumia.
 
Nigga you are full of shit.

Ungeweza kuishia pale kwenye kuagiza kitimoto bila kusema kama ni mke wa mtu na akakufuata huko pm.

Kwakua ujinga ni kipaji ukaona umalizia hatua tisa zote.

Hii ni chai. Hakuna mwanaume anayehadithia hivi.
 
Wanawake ni viumbe wa ajabu mno mno yani mno..mm natembelea sana maeneo ya stendi hapa tabora yan unakuta mdada ni mke wa mtu ametoka labda dar anafikia hapa tabora ili aunganishe mpanda au kigoma...yan ukishajua tu hana ndugu hapa bas..ww kazi yako ni kumnunulia tu chakula unamdanganya kidogo basi lazima uondoke nae ukamchampe unavyotaka..bas hawa ma agent wa stend ndio wanawachapa sana yan sana..alafu kirahisi tu dah wanawake sijui ni kwanin ni dhaifu sana..
 
Ukiambiwa uingie dini ya haki unalani, misikitini hatuna ujinga huo.
 
Kweli aisee hivi huwa ni nini unamuacha mumeo uchi kabisa hata kama ana mapungufu yake ebu jaribu kuyaficha ongeeni tu mambo yenu yaliyowakutanisha

Kukutana tu siku moja kila kitu umeshamwambia huyo mwanaume
Wengi wenu ndo mlivo mkifikishwa kwenye mautamu, mimi kuna mke wa mtu alinambia ilikuwaje acherewe kukutana na mimi? Maana hajawahi kuona utamu wa dudu kauwona kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…