Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane

Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane

Ndoa ni nzuri iwapo utampata mwanamke sahihi anejitambua na anajua nafasi yake kama mke sasa huyo alochapiea alikosea kuoa limbukeni...huwezi kusema alioa mke...mwanamke ambae unakutana na mtu humjui unaanza kuzunhumza udhaifu wa mumeo na k unampa
Kama sio story aisee hizi Ndoa Mungu akaonekanee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sipati picha kama jamaa liechapiwa nae yupo humuuuu...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadada wa JF angalieni mijitu hata ya kuitunuku mbunye zenu. Unamtunuku hayawani, anakuchanganyia na k vant, ni Hatari sana watu wa namna hii.
Halafu anakuja JF anakutangaza na kueleza mliyoyafanya sirini.
Hivi kwa mfano mke wangu aje ananuka pombe, afike nyumbani ssaa tano usiku, si ntaunganisha tu dots.
Mbaya sana
Sijawahi kumdunda ila siku hiyo angechezea za kutosha, hadi angeenda kutoa ushuhuda kwa shoga zake kwa kilichompata.

Yaani mke anakujia saa tano usiku huku ananuka mipombe, halafu hujui hasa alikuwa wapi, dadeq siku hiyo angeona upande wa pili wa shilingi.
 
Sijawahi kumdunda ila siku hiyo angechezea za kutosha, hadi angeenda kutoa ushuhuda kwa shoga zake kwa kilichompata.

Yaani mke anakujia saa tano usiku huku ananuka mipombe, halafu hujui hasa alikuwa wapi, dadeq siku hiyo angeona upande wa pili wa shilingi.
Ukimdunda inasaidia Nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Zamazamani try to be gentlemen. Umetoa Codes zote kumuhusu huyo malikia, jambo ambalo linaweza kumuhatarishia ndoa yake iwapo mume wa huyo bibie atapita hapa.

To all ladies here and there, mnapokuwa mna date na mtu hata kama ni ile one night stand while you are married woman mjitahidi kuwasitiri waume zenu. Pia mjitahidi kuepuka kunywa kilevi hasa unapokuwa na mtu strange kwako. Unaweza kunyweshwa pombe na kujikuta unafanyiwa vitendo vya aibu kama kurecordiwa picha za mnato na wakati mwengine kuliwa Tigo bila ridhaa yako. Lakini kubwa zaidi unaweza kukuta unaambukizwa magonjwa au kuuwawa.

Be the Change.
👏👏👏
 
Ndoa ni nzuri iwapo utampata mwanamke sahihi anejitambua na anajua nafasi yake kama mke sasa huyo alochapiea alikosea kuoa limbukeni...huwezi kusema alioa mke...mwanamke ambae unakutana na mtu humjui unaanza kuzunhumza udhaifu wa mumeo na k unampa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli aisee... Usijekuona mwanamke mzurii shape analoo lakini anachomwa na jua kwa kudanga haolewii... sasa wewe jichanganye ubebe uweke ndani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hakuna rangi ya hasira na maumivu utaacha onaa walahii...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikutana na huyu msichana mrembo na decent kwelikweli baada ya misa ya Jumatano ya Majivu kipindi hiiki cha Kwaresma pale St Peters .Nilikuwa nawasha gari ili niondoke nikamuona anashangaashangaa pale parking nikamtania kwamba yeye ni mwanakondoo mwenzangu hivyo naweza nikamdrop huko anakokwenda akasita kidogo lakini akakubali.Tulipofika Morocco nikamwambia nina hisi njaa tupitie kontena kwa rasta pale Mikocheni ili tukapate chochote, akasita kidogo akidai yeye ni mke wa mtu hivyo anataka kuwahi familia..lakini baada ya kumbembeleza sana akakubali.Tukaagiza kitimoto choma na ndizi choma, yeye akaagiza soda na mimi maji makubwa.Baadaye kidogo nikaona isiwe tabu nikaagiza KVant ndogo na yeye akasema huwa anakunywaga wine lakini siyo kwa siku ile akidai kwamba ni siku takatifu halafu mumewe hawezi kumuelewa ....nikambembeleza sana sana na kutoa mifano ya kwamba kwa sisi wakatoliki hata mapadre wanaakunywa wine itakuwa sisi wanakondoo?kabla hajashnagaa chupa ya Dompo ikawa tayari mezani inafunguliwa...akaubali kwa shingo upande akisema atakunywa ka glasi kamoja tu....stori zikaanza kunoga..mara glasi ya pili ,ya tatu ...akiwa anakwenda toilet mi namchanganyia na Kvant kidogo kwenye glass yake(niliongeza chupa ndogo za KVant mbili)....stori zikanoga na uchangamfu ukaongezeka....akaanza kumkandia mumewe kichizi...stori zikanoga...akaanza kuongea huku ananishika shika..aibu ikatoweka...baada kuona ameshaelekea kibra..nikamwambia tuondoke tukajihifadhi ili awahi home manake ilishakuwa mida ya saa mbili na nusu usiku.Tukaingia kwenye gari tukapigana kiss za kufa mtu na kunawa kwa sana...nikaja gundua ameshalowana sana kule chini....nikamwambia pale ni parking kuna watu watatuona twenzetu haraka....tukaenda lodge ya karibu tukafanya yetu mpaka saa nne na nusu hivi....ila niligundua alikuwa na ukame wa muda mrefu na yeye alinithibitishia hivyo( ndoa hizi ni balaa) huwa hatoshelezwi na mumewe ....basi baada ya mechi akawa anajuta sana kwa kuchelewa nyumbani manake alikuta missed calls nyingi tu za mumewe...nikamkimbiza pale Sayansi ili achukue Taxi ili arudi kwake Africa Sana ,Mwenge.Sasa kosa kubwa nililolifanya sikuchukua namba yake ya simu....ila katika stori alinambia naye ni mwana JF naomba RMJ kama ukisoma ujumbe huu tuwasiliane PM kwani nataka kujua nini kilitokea pia mautundu yako niliyakubali na pia tuliongea mengi...imenibidi nikutafutie humu sababu juhudi zangu za kuja pale kanisani hazijazaa matunda mpaka leo..
Pole yako yaan umedanganywa kweupe, huyo ni changu tu wa kitaa, mtu unaishi Africa sana unasari st peter bila sababu, yaan we ndo umecjezewa tu huyo ni malaya wa ambiance

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa umetusimulia stori nzima ya uzinzi mliofanya ya nini? Tena siku takatifu na mmetoka kanisani? Kama lengo lako ni kumtafuta mtu hiyo stori yote ni yanini
 
Wanawake ambao wanawakandia waume zao huwa siwaelewi kabisa hivi ni lazima umkandie mume wako sababu umepata mwanaume mwingine tena wa mdamfupi tu?
Mkuu kilichokufanya uamini kilichoandikwa ni nini!?? Kwanza maelezo yenyewe ni ya upande mmoja. Hakuna uthibitisho wowote kuonyesha km kweli alikuwa mke wa mtu. Maana hapa mjini kuna kila aina ya utapeli.

Kumbuka mdada mwenyewe amekutana naye kanisani tena siku ya jtano ya majivu,ulitaka aseme nn ili kumlaghai huyu boss!?? Unajua km angesema yupo single thamani yake ingeshuka sana...hivyo huenda alisema ameolewa ili kujiongezea soko na kitendo cha kumponda mumewe ilikuwa sehemu ya igizo.

Lkn hata km kweli alikuwa ameolewa,kumponda mwanaume wala siyo issue kwa sababu mume mwenyewe hatajua. Atabaki anajua huyu ambaye anafanyiwa hayo ili atoe pesa zaidi. Na habari njema zaidi ni kwamba 79% ya wanawake ambao huwa wanachepuka,baada ya tendo lile huwa wanajuta! Hivyo akirudi nyumbani muda wote huwa wanajisikia wakosaji. Na hivyo kuongeza upendo kwa mume.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom