Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane

Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane

Sijawahi kumdunda ila siku hiyo angechezea za kutosha, hadi angeenda kutoa ushuhuda kwa shoga zake kwa kilichompata.

Yaani mke anakujia saa tano usiku huku ananuka mipombe, halafu hujui hasa alikuwa wapi, dadeq siku hiyo angeona upande wa pili wa shilingi.

Ndiyo maana nataka kujua nini kilitokea ...maana pia nitajuta sana kama nilimharibia ndoa yake
 
Kuna aibu nyingine sio za kusimulia hata kama wewe ni invisible.
Aisee kwa umri huo mpaka unajua kuendesha gari bado unataja mpaka maeneo anayoishi?? Sasa huyo dada umeamua kumvurugia maisha zaid kuliko huko kumtafuta na kweli mwanaume rijali unatajiwa na mwanamke kuwa yeye ni mke wa mtu bado unashindwa kumsitiri mwanaume mwemzako kwa kukimbiza hilo jini??
Aisee kwa mwanaume mkamilifu hawezi tembea na mke wa mtu hata kama ni ukame ila hilo ni kosa kubwa ambalo gaharama zake ni kubwa kuzibeba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kilichokufanya uamini kilichoandikwa ni nini!?? Kwanza maelezo yenyewe ni ya upande mmoja. Hakuna uthibitisho wowote kuonyesha km kweli alikuwa mke wa mtu. Maana hapa mjini kuna kila aina ya utapeli.

Kumbuka mdada mwenyewe amekutana naye kanisani tena siku ya jtano ya majivu,ulitaka aseme nn ili kumlaghai huyu boss!?? Unajua km angesema yupo single thamani yake ingeshuka sana...hivyo huenda alisema ameolewa ili kujiongezea soko na kitendo cha kumponda mumewe ilikuwa sehemu ya igizo.

Lkn hata km kweli alikuwa ameolewa,kumponda mwanaume wala siyo issue kwa sababu mume mwenyewe hatajua. Atabaki anajua huyu ambaye anafanyiwa hayo ili atoe pesa zaidi. Na habari njema zaidi ni kwamba 79% ya wanawake ambao huwa wanachepuka,baada ya tendo lile huwa wanajuta! Hivyo akirudi nyumbani muda wote huwa wanajisikia wakosaji. Na hivyo kuongeza upendo kwa mume.


Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa kumuangalia na kumsikiliza ,pete ya ndoa kidoleni..anaonekana kabisa ni mke mwema labda tu alizidiwa na shetani
 
Kuna aibu nyingine sio za kusimulia hata kama wewe ni invisible.
Aisee kwa umri huo mpaka unajua kuendesha gari bado unataja mpaka maeneo anayoishi?? Sasa huyo dada umeamua kumvurugia maisha zaid kuliko huko kumtafuta na kweli mwanaume rijali unatajiwa na mwanamke kuwa yeye ni mke wa mtu bado unashindwa kumsitiri mwanaume mwemzako kwa kukimbiza hilo jini??
Aisee kwa mwanaume mkamilifu hawezi tembea na mke wa mtu hata kama ni ukame ila hilo ni kosa kubwa ambalo gaharama zake ni kubwa kuzibeba.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa wote ni watu wazima ..kuna kitu gani ambacho ni cha ajabu sana???? acha unafiki wa kijinga
 
Nilikutana na huyu msichana mrembo na decent kwelikweli baada ya misa ya Jumatano ya Majivu kipindi hiiki cha Kwaresma pale St Peters .Nilikuwa nawasha gari ili niondoke nikamuona anashangaashangaa pale parking nikamtania kwamba yeye ni mwanakondoo mwenzangu hivyo naweza nikamdrop huko anakokwenda akasita kidogo lakini akakubali.Tulipofika Morocco nikamwambia nina hisi njaa tupitie kontena kwa rasta pale Mikocheni ili tukapate chochote, akasita kidogo akidai yeye ni mke wa mtu hivyo anataka kuwahi familia..lakini baada ya kumbembeleza sana akakubali.Tukaagiza kitimoto choma na ndizi choma, yeye akaagiza soda na mimi maji makubwa.Baadaye kidogo nikaona isiwe tabu nikaagiza KVant ndogo na yeye akasema huwa anakunywaga wine lakini siyo kwa siku ile akidai kwamba ni siku takatifu halafu mumewe hawezi kumuelewa ....nikambembeleza sana sana na kutoa mifano ya kwamba kwa sisi wakatoliki hata mapadre wanaakunywa wine itakuwa sisi wanakondoo?kabla hajashnagaa chupa ya Dompo ikawa tayari mezani inafunguliwa...akaubali kwa shingo upande akisema atakunywa ka glasi kamoja tu....stori zikaanza kunoga..mara glasi ya pili ,ya tatu ...akiwa anakwenda toilet mi namchanganyia na Kvant kidogo kwenye glass yake(niliongeza chupa ndogo za KVant mbili)....stori zikanoga na uchangamfu ukaongezeka....akaanza kumkandia mumewe kichizi...stori zikanoga...akaanza kuongea huku ananishika shika..aibu ikatoweka...baada kuona ameshaelekea kibra..nikamwambia tuondoke tukajihifadhi ili awahi home manake ilishakuwa mida ya saa mbili na nusu usiku.Tukaingia kwenye gari tukapigana kiss za kufa mtu na kunawa kwa sana...nikaja gundua ameshalowana sana kule chini....nikamwambia pale ni parking kuna watu watatuona twenzetu haraka....tukaenda lodge ya karibu tukafanya yetu mpaka saa nne na nusu hivi....ila niligundua alikuwa na ukame wa muda mrefu na yeye alinithibitishia hivyo( ndoa hizi ni balaa) huwa hatoshelezwi na mumewe ....basi baada ya mechi akawa anajuta sana kwa kuchelewa nyumbani manake alikuta missed calls nyingi tu za mumewe...nikamkimbiza pale Sayansi ili achukue Taxi ili arudi kwake Africa Sana ,Mwenge.Sasa kosa kubwa nililolifanya sikuchukua namba yake ya simu....ila katika stori alinambia naye ni mwana JF naomba RMJ kama ukisoma ujumbe huu tuwasiliane PM kwani nataka kujua nini kilitokea pia mautundu yako niliyakubali na pia tuliongea mengi...imenibidi nikutafutie humu sababu juhudi zangu za kuja pale kanisani hazijazaa matunda mpaka leo..
Wakati mungine unaweza kujuta kwanini umeoa mke wa namna hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anasali St. Peters.

Siku ya jumatano ya majivu alichelewa kurudi (alirudi saa nne).

Alirudi akiwa amekunywa pombe.

Alipigiwa missed calls nyingi.


Unahisi mwenye mke akiziona hizi details hawezi kuunganisha dots?

- KANA -
 
Nigga you are full of shit.

Ungeweza kuishia pale kwenye kuagiza kitimoto bila kusema kama ni mke wa mtu na akakufuata huko pm.

Kwakua ujinga ni kipaji ukaona umalizia hatua tisa zote.

Hii ni chai. Hakuna mwanaume anayehadithia hivi.
100%
 
Back
Top Bottom