Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane

Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane

Nigga you are full of shit.

Ungeweza kuishia pale kwenye kuagiza kitimoto bila kusema kama ni mke wa mtu na akakufuata huko pm.

Kwakua ujinga ni kipaji ukaona umalizia hatua tisa zote.

Hii ni chai. Hakuna mwanaume anayehadithia hivi.
Au anafikisha ujumbe kuwa ana gari kwa wale wadada wapenda lift
 
Hii ya sikuhizi kiboko ....mmekutana mmeenda kupata chakula cha mchana na pombe mkanywa na mke wa MTU mwisho mkatiana vitu ....ndani ya masaa kadhaa tu mmemaliza kila kitu mke karudi kwa mumewe loool !!!!!! ...

Haya unamtafuta mke wa mtu wa kazi gani tena kuna kitu umesahau kwake???? Kumbuka mumewe akijua umekwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli aisee hivi huwa ni nini unamuacha mumeo uchi kabisa hata kama ana mapungufu yake ebu jaribu kuyaficha ongeeni tu mambo yenu yaliyowakutanisha

Kukutana tu siku moja kila kitu umeshamwambia huyo mwanaume
Alikuwa amelewa.
 
Wow..mkaenda kuyamaliza hayo yote mkiwa na majivu yenu kwenye paji la uso
This is amazing..interesting
Hizi ndoa za siku hizi hazina maana..mi nasemaga bila nakandiwa

Bila mtoa mada uko matatani kama umetaja maeneo halisi..

Sent using Jamii Forums mobile app

imenichukua muda mrefu kutafakari siku ile manake wote tulikuwa na majivu kwenye mapaji yetu
 
Back
Top Bottom