tycoonff
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 925
- 1,306
Au anafikisha ujumbe kuwa ana gari kwa wale wadada wapenda liftNigga you are full of shit.
Ungeweza kuishia pale kwenye kuagiza kitimoto bila kusema kama ni mke wa mtu na akakufuata huko pm.
Kwakua ujinga ni kipaji ukaona umalizia hatua tisa zote.
Hii ni chai. Hakuna mwanaume anayehadithia hivi.