namtafuta mmu member awe mume wangu


Punguza vigezo vyako, vinginevyo utaona miaka inakatika tu halafu uanze kukata tamaa na maisha huku ile biological clock ikizidi kukuweka roho juu kwa kulia tik tok tik tok
 
Hii imepita kushoto maana sio mpenzi wa mpira kabisa
 
Duh, vigezo Kama vile unataka sifa za mgombea urais! Napenda nikuonye: 'ze mo za komplikeshen za mo za devieshen' mapenzi hayahitaji chet cha komunyo.birth certifcte,paspot n.k. Kwani mkitaka ku-du mnaverify vyeti? Acha ujinga mchumba mtarajiwa!
 
We binti ndio maana hata rafiki ulikosa na kwa masharti haya hupati Mwenza wala Mwanza sio hapa tu hata dunia nzima,loh! mtoto wakike una visa weye. Umeweka mahitaji yako na kutotaja sifa zako tayari tunahisi we ni mtu wa aina gani.
 
mimi ni mshabiki wa JKT RUVU na pia EVERTON ya UINGEREZA pia sijawahi kuoa!! alafu sina uvumilivu wala sijui kupenda pia navuta bangi na ni mlevi wa mnazi!! alafu navuta pia sigara nyota kama nikiwa na hela kama sina huwa navuta za kujisokotea mwenyewe alafu nakula ugoro kama utarizika na wasifu wangu nitafute 0711989798
 
amebadili na jina huenda anataka kupunguza masharti
 
dah..mwenye sifa zote hizi akipatikana ujue Yesu amerudi. nakuomba unipe nafasi mimi maana kuna sifa namba 11, 4, na 6 ninazo
 
Mods Samahani kama nitakua nafanya "name calling",
Bebii = Smile?????
 
Yanga na Man U,
Inaonekana we kicheche halafu unajua kuomba kumba msamaha so unatafuta ***** litakaloweza kukuelewa pale litakapo kubamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…