Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Huko unakopita na mimi nisaidie ukimwona Christine Chakunegela mpe salaam zanguKuna mtangazaji Nguli, mwanadada Glory Robinson wa kipindi Cha Showtime wakiwa na kidebway na Bonanza sehemu ya pili sijui alipoteleaga wapi tangu alivyokuwaga RFA. Sijawahi isikia sauti yake sijui Yuko waapi, anayejua alipo...... Pls anijuze.
Nashangaa kwanini sikuwahi msikia redio nyingne maana combo yake na kidbway ilikuwa hatari sana showtimeView attachment 2796132Nilikua namkubali sana uyu sister dah.
Toa hata msimbazi basi ili aamini uko seriousView attachment 2796132Nilikua namkubali sana uyu sister dah.
Beatrice RabachKuna mtangazaji Nguli, mwanadada Glory Robinson wa kipindi Cha Showtime wakiwa na kidebway na Bonanza sehemu ya pili sijui alipoteleaga wapi tangu alivyokuwaga RFA. Sijawahi isikia sauti yake sijui Yuko waapi, anayejua alipo...... Pls anijuze.
Bado yupo TBC taifaHuko unakopita na mimi nisaidie ukimwona Christine Chakunegela mpe salaam zangu
Jamani Yuko wapi huyu mtu jamani iiiii
Mama analea watoto huko aliko we endelea kumkubari hivyo hivyo,View attachment 2796132Nilikua namkubali sana uyu sister dah.
Hawa uliowataja ndio akina nani?Beatrice Rabach
Glory Robinson
Rahabu Fred
Mkamiti Juma
Fredwaa
Baruan Muhuza
Roy Mlaliki Maganga
Jumaa Ahmed Baragaza
Na wengine wengi hii RFA ilikuwa ya moto na influence kubwa sana kuliko radio nyingine yoyote hapa nchini.
Ananyonesha kwani vipi?Jamani Yuko wapi huyu mtu jamani iiiii
Watangazaji wa RFA enzi hizo hujazaliwaHawa uliowataja ndio akina nani?